Nasumbuliwa na mawe kwenye figo ,msaada wa haraka inahitajika

Nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona kabisa.Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
 
yuko wapi huyo miss natafuta?
kunywa maji mengi umeambiwa mkuu usilete doubt,hiyo ni tiba kubwa sana,pia kama unawezAA PATA juisi ya miwa halisi ambayo haijachanganywa na kitu chochote inafaa sana
 
Mkuu pole sana kuna dawa zinamaliza kabisa ila bongo ni fake pata mtu yuko Dubai muagizie hazifiki hata dola 30 niliwahi mketea mtu ngoja nitafute jina na picha nikupatie
 
Nicheki pm ndugu..
 


Pole sana tembelea blogyetu.


BLOG=ZAHIRI HERBAL HEALING CENTER

DR,SHARIFF
 
Hivi kipimo cha utrasound ni bei gani
 


Nenda Muhimbili National Hospital solution yake ni operesherni utatobolewa matundu kama 3 hivi halafu itapitishwa mirija ambayo itaenda kufyonza hivyo vijiwe. Ni ya masaa kama 3 jivi. Kuna mtu namfahamu aalifanyiwa mmiezi 10 iiliyopita na hivyo vijiwe alipewa anavyo kama ukumbusho na kapona kabisa!!
 
 
Ni kweli kabisa mimi nilikwenda jumanne Hospital nikaambiwa kua nina tatizo hilo la mawe kwenye figo na nisubiri J.nne nikamwone Bingwa nikarudi Nyumbani nikanywa lt. 5 kwa masaa 6 jioni saa 12:00nikasikia kutapika nikatapika kweli !! Mungu ni Mkiu wa kila kitu nimeyatapika yoote na sasa nimepona Nasoma Biblia kila usiku kumshukuru Mungu kwa wema wake.
 
kwanza nakupa pole kwa maumivu makal unayoyapata najua wengi wanazungumza kikawida ilaa jmaan kidney stone maulivu yake ni makal kuliko usipochoma dawa ya diclofenac waweza hisi unakufa nilishapat hilo tatzo nikapiga utrasound nilipewa madawa kamabhiyo citratehydrochloride sijui ya kuchanganya na maji nikaitumia hali ikarud tenaa .nikaamua kuingia mtandaon nisome kuhusu hydronephrosis na kidney stone issue na kusoma comments za watu mbali mbali waliowah kupata hiyo adha yenye maumivu makal yasiyopoa nikaja na jibu kuwa dawa ni MAJI .nilikunywa maji meng kwa mawe yakawa yanatoka yanapita kweny urethra mpaka yanadondoka kweny sink nayaona ilaa maumivu huwa yanashuka jinsi jiwe linavyoshuka mpaka linatoka na pia damu huwa inatoka unapokojoa kama una hilo tatzo sabb yanakwangua ukua wa urinary system.nakushaur kunywa maji sio chini ya lit4 kwa siku maishan mwako hutapata hili tatzo pia punguza chumvi na pilipili pia kaz zinazofanya uvuje jasho jing
 
Lita 10 mbona kawaida. Maana asubuhi ukiamka lita, saa nne lita, saa nane lita, saa kumi lita, saa mbili lita, saa tano lita, saa nane lita, saa 10 lita na si kwamba unakunywa kwa maramoja
 
Kidney stones ni changamoto kwa watu wengi na tiba yake ni ghali kidogo
 
Kidney stonee dawa yake ni maji tu. Huna haja ya kwenda hospitali mkuu, inaitwa water therapy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…