Kimtokacho mtu ndicho kilicho ujaa moyo wake.
sasa nisikilize kwa makiiini sana.
Akikutokea jimama yeyote just chukua namba yake kisha send me thru PM nitakuepusha naye.
Mie ndo mtaalam wa kuzuia mizoga isitoe harufu
PM ya nini Msanii unataka akuunganishe na majimama?BUJIBUJI hujantumia PM hadi sasa
huyu Saskia ni wa wapi?kimbilia kwa Mijibaba
I am DYING for it FL1PM ya nini Msanii unataka akuunganishe na majimama?
Watu hawajui kuwa asali ya nyuki wadogo ni tiba shekhe wangu.Mkuu tupo wengi,mi ni mtu mwenye kuamini katika work experience na hiyo mijimama ina experience kubwa katika mambo fulani hivi...... na wala huwa haitoi kwa uchoyo unapewa yoooooooooote,nami naomba nijiunge katika kuomba PM ya namba za simu japo limoja tu likawasimulie wenzake.
I am DYING for it FL1
Walete walete
ALAJII ALAJI ALAJII
BUJIBUJI hujantumia PM hadi sasa
kama yana hela kula kwanza hela zao, usitoe huduma bure, wao huwa wanatuchaji, but don't 4gt condom teh! teh! teeee!Tangu nimebalehe, nimetembea na wasicha wadogo au wa rika langu wasio zidi wawili.
Lakini cha ajabu ni kuwa mahusiano yangu yote ni mimi na wanawake wanaonizi umri, kinachowavutia kwangu sikijui.
Sasa nimeachana na msichana wangu wa awali, lakini kila nikitoka out peke yangu lazima majimama wajisogeze anga zangu na kuanza kujiongelesha.
Je nifanyeje ili niache kufuatwafuatwa na mijimama hii?
Yaaani I can feeel it coming to me.....hahahahah bila ubishi :becky:
Tangu nimebalehe, nimetembea na wasicha wadogo au wa rika langu wasio zidi wawili.
Lakini cha ajabu ni kuwa mahusiano yangu yote ni mimi na wanawake wanaonizi umri, kinachowavutia kwangu sikijui.
Sasa nimeachana na msichana wangu wa awali, lakini kila nikitoka out peke yangu lazima majimama wajisogeze anga zangu na kuanza kujiongelesha.
Je nifanyeje ili niache kufuatwafuatwa na mijimama hii?
Huyu ni mgeni.huyu Saskia ni wa wapi?
bujibuji hujantumia pm hadi sasa
bb, una bahati sana! Wachape nao tu...