Huyu mshikaji anawasiwasi tu, labda yeye akiona lijimama linamchekea anafikiri linamtaka. ukitoka out lazima ujue kuwa kuna wanawake wengi wa kila rika nao pia wapo kazini (wanauza penzi) na wengine huwezi kudhania kuwa wapo kazini. Hivyo asijifanye anapendwa na mijimama. Mijimama hiyo inakuwa kazini ukiingia line inajua asubuhi haikosi hata buku ten ya mboga ya watoto.
Huyu mshikaji ana low horizon kwa mambo ya kutoka. So expaaaaand your horizoooon.:A S 100:
Huyu mshikaji ana low horizon kwa mambo ya kutoka. So expaaaaand your horizoooon.:A S 100: