Uwezekano mkubwa una tatizo la Acid tumboni, ila inashauriwa upime ili wajue kama uko kwenye hatua gani kuhusiana na Kupata Vidonda vya tumbo. Kisha utapatiwa Dawa kulingana na stage tatizo lako lilipo. Zipo Dawa ukipatiwa zitakusaidia kupungua kiwango cha Acid tumboni na hatimaye utakuwa sawa kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.