Nasumbuliwa na tatizo la kiungulia

Pole sana.

Nenda Hospitali wakufanyie vipimo.

Uwezekano mkubwa una tatizo la Acid tumboni, ila inashauriwa upime ili wajue kama uko kwenye hatua gani kuhusiana na Kupata Vidonda vya tumbo. Kisha utapatiwa Dawa kulingana na stage tatizo lako lilipo. Zipo Dawa ukipatiwa zitakusaidia kupungua kiwango cha Acid tumboni na hatimaye utakuwa sawa kabisa.

Ila; NENDA HOSPITALI.
 
Au Chemsha karafuu unywe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…