Nasumbuliwa na tatizo la Mwili kupata shoti

Nasumbuliwa na tatizo la Mwili kupata shoti

Iko hivi kuna watu wana umeme mkubwa kiasi kwamba wanaweza shika umeme wenye volt kubwa sana na hawapigwi shoti kabisa

Kuna wengine anashika tube light na inawaka kabisa,kuna watu wameumbwa tofauti sana au wako special
umeme una sheria zake, hata wewe unaweza kuishika nyaya ya grid ya Taifa na usipigwe short. Umeme usipokamilisha mzunguko wake hauna madhara. ukipigwa shot ujue umduingilia ktk mzunguko wake au wewe ndio umeukamilisha huo mzunguko.
 
Back
Top Bottom