Inaonyesha vyakula vyenye gesi ukila ndio unapata maradhi ya tumbo kuuma, jaribu kuacha vyakula vyenye gesi nenda kapime tena usije kuwa una vidonda vya tumbo? Kunywa maji ya uvuguvugu kila siku unapo amka asubuhi kunywa glasi 3 majiya uvuguvugu kisha kaa kwa muda wa saa 1 bila ya kula kitu baada ya saa 1 kupita waweza kunywa chai ya asubuhi na wakati wa mchana.
Kunywa tena Maji ya uvuguvugu glasi 2 fanya kama ulivyo fanya asubuhi na wakati wa usiku fanya kama ulivyo fanya mchana na wakati wakulala kunywa maji ya uvuguvugu glasi 1 kisha lala dumisha hivyo kwa siku 10 kisha uje unipe mrejesho je bado unaumwa na tumbo? Ugua pole ukitaka ushauri au una maswali zaidi waweza kunitafuta kwa kubonyeza hapa.
Mawasiliano