mzee wa misele
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 366
- 46
Habarini wakuu,
Ninasumbuliwa na tumbo kuuma sana hasa ni nikila maharage na dagaa nimeenda hospitali moja ya wilaya nikapima kipimo cha occuh blood hakuna reaction yoyote.
Nishaurini nifanyaje?
Ninasumbuliwa na tumbo kuuma sana hasa ni nikila maharage na dagaa nimeenda hospitali moja ya wilaya nikapima kipimo cha occuh blood hakuna reaction yoyote.
Nishaurini nifanyaje?