Natabiri; Arsenal FC itashuka daraja msimu huu

Huu sio utabiri.yaan wewe umeangalia msimamo baada ya mechi mbili alafu unaita utabiri.
Hujawahi ona watu wanatabiri matokeo mechi ikiwa inaendelea?

Sawa hizo mechi mbili zitoe Basi tuanze upya
 
Dua la mwenye roho mbaya haliipati Arsenal.
 
tayariiii ishashuka au kuna aseno ingne nje na hii the ngumuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…