Uchaguzi 2020 Natabiri Baada ya likizo ya Kampeni: Wagombea wakirudi mgombea wa CHADEMA atakosa mvuto

Uchaguzi 2020 Natabiri Baada ya likizo ya Kampeni: Wagombea wakirudi mgombea wa CHADEMA atakosa mvuto

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Nimetafakari.

Maneno mengi ya kusisimua yenye kuja Chumvi yalikuwa tayari yameshasemwa katika account ya kigogo Twitter.

Ni katika likizo hii account hiyo imefutwa na mabeberu. Kesho Yale ikaibuka nyingine nayo sasa hivi siioni. Account hiyo Mpya ilikuwa inaongea kwa wingi kana kwamba huyo mmiliki sio mmoja na lawama za kufungiwa kwao wakiitupia Idara ya Usalama nchini kuwa imewachongea kwa wamiliki wa twitter.

Kwa mtazamo wangu hilo nalo litapunguza vionjo na bashasha za mgombea wachadema. Ikumbukwe hata neno alilosema mgombea mwenzake yuko " gereji" nilikuwa limeshasemwa huko tayari na wababe wa twitter.

Kwa mtazamo wangu, sijishangai kuamini kampeni zimeisha wagombea mahasimu mmoja kujipa likizo mwingine kupewa adhabu bila kujali adhabu hiyo ni haramu au halali kivifungu.

Naomba kuwasilisha utabiri.
 
Ana huruma na upendo
Yaliyowakuta watanzania katika utawala wa Jiwe miaka 5 iliyopita
1. 16/38 risasi, sep/7
2. Ben Saanane
3. Azory
4. Mawazo
5. Mkiru...over 1,000 people dead
6. Uncountable Coco beach sandarusi maitii
7. and many any other atrocities due to be identified when time is ripe!

...Orodha inaendelea

8. Offisi ya Fatma Karume kupigwa mabomu
9. Akwilina Aquilin
10. Makonda kuvamia kituo za Clouds
11. Ubambikizaji wa kesi
12. Kuwanyima maendeleo wasiochagua CCM
13. Dotto James
14. Mayanga Construction
15. Utumiaji wa watumishi na mali za serikali kwenye kampeni za CCM
16. Msafara wa kampeni wa Lissu kushambuliwa na polisi
17. Msafara wa kampeni wa Lissu kushambuliwa na wanachama wa CCM
 
Kujipa matumaini ni muhimu katika maisha. Dini zipo kutoa matumaini kuwa wapendwa wetu tutakutana nao mbinguni.
 
Bora yeye atakuwa hana mvuto ila huyo wa CCM ngwe ya mwanzo tu ameshapoteza mvuto na amezorota kiafya, msifanye mchezo tutazika, jamaa mgonjwa kupita maelezo sijui mnaiangalia hali yake na alivyokondeana, juzi Zanzibar kila wakati pumzi juu juu nilizani ataporomoka.
Acha nadharia za ufipani.

Ugonjwa umempa wewe. Yule ni rais wa nchi akipata shida inayohitaji attention ya wananchi msemaji anasema hizo nyingine ni Faraja za kijinga mnapeana.
 
Ni vigumu kuamini huu uwongo, Rais Magufuli ni mpenda amani, mpole na mnyenyekevu
Yaliyowakuta watanzania katika utawala wa Jiwe miaka 5 iliyopita
1. 16/38 risasi, sep/7
2. Ben Saanane
3. Azory
4. Mawazo
5. Mkiru...over 1,000 people dead
6. Uncountable Coco beach sandarusi maitii
7. and many any other atrocities due to be identified when time is ripe!

...Orodha inaendelea

8. Offisi ya Fatma Karume kupigwa mabomu
9. Akwilina Aquilin
10. Makonda kuvamia kituo za Clouds
11. Ubambikizaji wa kesi
12. Kuwanyima maendeleo wasiochagua CCM
13. Dotto James
14. Mayanga Construction
15. Utumiaji wa watumishi na mali za serikali kwenye kampeni za CCM
16. Msafara wa kampeni wa Lissu kushambuliwa na polisi
17. Msafara wa kampeni wa Lissu kushambuliwa na wanachama wa CCM
 
Hivi kumbe mgombea wa chadema alikuwa na mvuto?

Kumbe yule wetu pendwa hana mvuto ndiyo maana anaandamana na kina 'suchu'?

Ina maana bila kina 'suchu' ni kapi tu na atabakia na kina chakupimbi na kina bashiri peke yake?
 
Yaliyowakuta watanzania katika utawala wa Jiwe miaka 5 iliyopita
1. 16/38 risasi, sep/7
2. Ben Saanane
3. Azory
4. Mawazo
5. Mkiru...over 1,000 people dead
6. Uncountable Coco beach sandarusi maitii
7. and many any other atrocities due to be identified when time is ripe!

...Orodha inaendelea

8. Offisi ya Fatma Karume kupigwa mabomu
9. Akwilina Aquilin
10. Makonda kuvamia kituo za Clouds
11. Ubambikizaji wa kesi
12. Kuwanyima maendeleo wasiochagua CCM
13. Dotto James
14. Mayanga Construction
15. Utumiaji wa watumishi na mali za serikali kwenye kampeni za CCM
16. Msafara wa kampeni wa Lissu kushambuliwa na polisi
17. Msafara wa kampeni wa Lissu kushambuliwa na wanachama wa CCM
Duh
 
Hivi kumbe mgombea wa chadema alikuwa na mvuto?

Kumbe yule wetu pendwa hana mvuto ndiyo maana anaandamana na kina 'suchu'?

Ina maana bila kina 'suchu' ni kapi tu na atabakia na kina chakupimbi na kina bashiri peke yake?
Wote Wawili kati ya wagombea wote wana mvuto.

Hapo Lissu hamkaribii JPM maana mvuto wa Lissu ni kutokana na Maneno Maneno ambayo baadhi ya vyanzo alivyokuwa anatumia kuchomekea vionjo viko down.

Kila JPM mvuto wake ni Matendo ya maendeleo kwa Jamii.

Hakaribiwi na mtu wa Maneno kwa sababu ya kanuni ya asili "action speaks Lauder than words"

Itabidi arudierudie Maneno ambayo tayari tumeshayasikia hivyo kukosa mvuto wa kusikilizwa.
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli

Ana huruma na upendo

Kuwa serious baasi!Kuna mtu katili Mwenye roho mbaya Kama huyu!Unajua chochote kuhusu Alphonce Mawazo?Unajua chochote kuhusu Ben Saananae ?Unajua chochote kuhusu kuumizwa na kupigea risasi kwa Tundu Lissu?
 
Hapana kaka yangu huo ni uzushi tu.

Rais Magufuli ni mtu mwenye upendo sana
Kuwa serious baasi!Kuna mtu katili Mwenye roho mbaya Kama huyu!Unajua chochote kuhusu Alphonce Mawazo?Unajua chochote kuhusu Ben Saananae ?Unajua chochote kuhusu kuumizwa na kupigea risasi kwa Tundu Lissu?
 
Wote Wawili kati ya wagombea wote wanamvuto.
Hapo Lissu hamkaribii JPM maana mvuto wa Lissu ni kutokana na Maneno Maneno ambayo baadhi ya vyanzo alivyokuwa anatumia kuchomekea vionjo viko down.
Kila JPM mvuto wake ni Matendo ya maendeleo kwa Jamii.
Hakaribiwi na mtu wa Maneno kwa sababu ya kanuni ya asili " action speaks Lauder than words"

Itabidi arudierudie Maneno ambayo tayari tumeshayasikia hivyo kukosa mvuto wa kusikilizwa
Huyu JPM akiandaa mkutano bila wasanii hapati hata watu mia
 
Lini ulimuona Ana mvuto?
Nimefafafua kinachompa mvuto wa watu kumsikiliza sio uwezo wake , asikilizwi ili achaguliwe watu wanaokwenda kusikiliza story za kusisimua, watu wanaokwenda kusikiliza Maneno ya kuikera CCM kutoka kinywani mwake ambayo moja ya source iko down. Hivyo kutakuwa na ukame wa Maneno Mapya.

Unakumbuka hata Dr slaa. Kilichompa Mvuto ni Yale madocs ya siri ya kiserikali lkn baada ya kublockiwa akabaki hana lolote akaishia kurudi CCM tu
 
Back
Top Bottom