Bwana Jela
Senior Member
- Nov 25, 2019
- 131
- 655
Mimi sina chama ila nikiangalia Ccm inapendwa sana na Magufuli Kila nikiuliza mtu anasema atapigia Magufuli
Huyu Baba Magufuli ana upendo sana
Yale mengine wanwmzushia
Huyu Baba Magufuli ana upendo sana
Yale mengine wanwmzushia
Upi! Huu wa kununua ndege na kutoajiri watu kwa miaka mitano. Njaa kila Kona ndo upendo huo. Kuchapa lisasi akina lisu na kupotea akina saanane ndo upendo huo! Au we mnufaika wa serikali hii ndo Mana hutaki ugali ukuponyoke kirahis