FACTSFIRST
Senior Member
- Dec 6, 2019
- 191
- 290
Nimefafafua kinachompa mvuto wa watu kumsikiliza sio uwezo wake , asikilizwi ili achaguliwe watu wanaokwenda kusikiliza story za kusisimua, watu wanaokwenda kusikiliza Maneno ya kuikera CCM kutoka kinywani mwake ambayo moja ya source iko down. Hivyo kutakuwa na ukame wa Maneno Mapya.
Unakumbuka hata Dr slaa. Kilichompa Mvuto ni Yale madocs ya siri ya kiserikali lkn baada ya kublockiwa akabaki hana lolote akaishia kurudi CCM tu
Kama unapesa ya kulisha watu pilau Bure mtaani. Na pesa ya kuarika majirani kwa kuwatumia usafiri na kutembea na wasanii makubwa usifanye eti itaonekana wanajaa kwa sababu ya wasanii.Huyu JPM akiandaa mkutano bila wasanii hapati hata watu mia
Mashekh wabambikizwa kesi za ugaidiYaliyowakuta watanzania katika utawala wa Jiwe miaka 5 iliyopita
1. 16/38 risasi, sep/7
2. Ben Saanane
3. Azory
4. Mawazo
5. Mkiru...over 1,000 people dead
6. Uncountable Coco beach sandarusi maitii
7. and many any other atrocities due to be identified when time is ripe!
...Orodha inaendelea
8. Offisi ya Fatma Karume kupigwa mabomu
9. Akwilina Aquilin
10. Makonda kuvamia kituo za Clouds
11. Ubambikizaji wa kesi
12. Kuwanyima maendeleo wasiochagua CCM
13. Dotto James
14. Mayanga Construction
15. Utumiaji wa watumishi na mali za serikali kwenye kampeni za CCM
16. Msafara wa kampeni wa Lissu kushambuliwa na polisi
17. Msafara wa kampeni wa Lissu kushambuliwa na wanachama wa CCM
Ofisi ya Fatma Karume iliyolipuliwa ndo hii iliyomfukuza juzi. Halafu nilikua sijui kama polisi walishawahi kuushambulia msafara wa Lissu.Yaliyowakuta watanzania katika utawala wa Jiwe miaka 5 iliyopita
1. 16/38 risasi, sep/7
2. Ben Saanane
3. Azory
4. Mawazo
5. Mkiru...over 1,000 people dead
6. Uncountable Coco beach sandarusi maitii
7. and many any other atrocities due to be identified when time is ripe!
...Orodha inaendelea
8. Offisi ya Fatma Karume kupigwa mabomu
9. Akwilina Aquilin
10. Makonda kuvamia kituo za Clouds
11. Ubambikizaji wa kesi
12. Kuwanyima maendeleo wasiochagua CCM
13. Dotto James
14. Mayanga Construction
15. Utumiaji wa watumishi na mali za serikali kwenye kampeni za CCM
16. Msafara wa kampeni wa Lissu kushambuliwa na polisi
17. Msafara wa kampeni wa Lissu kushambuliwa na wanachama wa CCM
ndiyo hivyo! Kwani unaishi wapi? it seems you do not take a damn of ongoing political activities in tanzaniaOfisi ya Fatma Karume iliyolipuliwa ndo hii iliyomfukuza juzi. Halafu nilikua sijui kama polisi walishawahi kuushambulia msafara wa Lissu.
Points zipi?. Mpaka apewe Desa na Amsterdam ndio aropoke. Watanzania sio wajinga.Lissu anajua akirudi atakuja na Point mpya za kutoshaa
Magufuli atarudi Gereji tena kwa Mara ya pili
Huna utabiri.Nimetafakari.
Maneno mengi ya kusisimua yenye kuja Chumvi yalikuwa tayari yameshasemwa katika account ya kigogo twitter.
Ni katika likizo hii account hiyo imefutwa na mabeberu. Kesho Yale ikaibuka nyingine nayo sasa hivi siioni. Account hiyo Mpya ilikuwa inaongea kwa wingi kana kwamba huyo mmiliki sio mmoja na lawama za kufungiwa kwao wakiitupia Idara ya Usalama nchini kuwa imewachongea kwa wamiliki wa twitter.
Kwa mtazamo wangu hilo nalo litapunguza vionjo na bashasha za mgombea wachadema. Ikumbukwe hata neno alilosema mgombea mwenzake yuko " gereji" nilikuwa limeshasemwa huko tayari na wababe wa twitter.
Kwa mtazamo wangu, sijishangai kuamini kampeni zimeisha wagombea mahasimu mmoja kujipa likizo mwingine kupewa adhabu bila kujali adhabu hiyo ni haramu au halali kivifungu.
Naomba kuwasilisha utabiri.
Atazidi kuongea weightless words ambazo zitachokwa wiki ya kwanza tuKwa hulka ya Lisu unadhan atakaa kimya?
ndiyo maana una mimacho kama mjusi aliyebwanwa na mlangoAtazidi kuongea weightless words ambazo zitachokwa wiki ya kwanza tu
Hata kwenye makinikia. Alikuwa anapewa videsa akiongea kwa ujasiri na mbwembwe basi watu wanamuona kama geologist Mkuu dunianiPoints zipi?. Mpaka apewe Desa na Amsterdam ndio aropoke. Watanzania sio wajinga.
Offpointndiyo maana una mimacho kama mjusi aliyebwanwa na mlango
Matako tulia uoneNimetafakari.
Maneno mengi ya kusisimua yenye kuja Chumvi yalikuwa tayari yameshasemwa katika account ya kigogo twitter.
Ni katika likizo hii account hiyo imefutwa na mabeberu. Kesho Yale ikaibuka nyingine nayo sasa hivi siioni. Account hiyo Mpya ilikuwa inaongea kwa wingi kana kwamba huyo mmiliki sio mmoja na lawama za kufungiwa kwao wakiitupia Idara ya Usalama nchini kuwa imewachongea kwa wamiliki wa twitter.
Kwa mtazamo wangu hilo nalo litapunguza vionjo na bashasha za mgombea wachadema. Ikumbukwe hata neno alilosema mgombea mwenzake yuko " gereji" nilikuwa limeshasemwa huko tayari na wababe wa twitter.
Kwa mtazamo wangu, sijishangai kuamini kampeni zimeisha wagombea mahasimu mmoja kujipa likizo mwingine kupewa adhabu bila kujali adhabu hiyo ni haramu au halali kivifungu.
Naomba kuwasilisha utabiri.
Safari hii tunachagua haki, hatuchagui wauaji
Ongeza volume mkuu,unasemaaaaah.Sisi Watanzania tulio wengi tutamchagua Rais Magufuli
Ana huruma na upendo
Ongeza volume mkuu,unasemaaaaah.
Wote Wawili kati ya wagombea wote wanamvuto.
Hapo Lissu hamkaribii JPM maana mvuto wa Lissu ni kutokana na Maneno Maneno ambayo baadhi ya vyanzo alivyokuwa anatumia kuchomekea vionjo viko down.
Kila JPM mvuto wake ni Matendo ya maendeleo kwa Jamii.
Hakaribiwi na mtu wa Maneno kwa sababu ya kanuni ya asili " action speaks Lauder than words"
Itabidi arudierudie Maneno ambayo tayari tumeshayasikia hivyo kukosa mvuto wa kusikilizwa
Upi! Huu wa kununua ndege na kutoajiri watu kwa miaka mitano. Njaa kila Kona ndo upendo huo. Kuchapa lisasi akina lisu na kupotea akina saanane ndo upendo huo! Au we mnufaika wa serikali hii ndo Mana hutaki ugali ukuponyoke kirahisSisi Watanzania tulio wengi tutamchagua Rais Magufuli
Ana huruma na upendo