Aibu imekushikaje mbumbumbu wewe na Mtateseka sana kumpakazia mtunisi wa watu, kwa taarifa yenu mwamba bado yumo sana . Ila siyo mbaya ni haki yenu mumchukie kwenye mechi 8 kawadofyoa mimba 4 mkabahatisha mechi aliyopewa red. Ni haki yenu mjitemee mate si kwa mimba hizoiIle uliyotoka Kutiwe ile Mimba yako.
Wewe unavyopewa Mimba hovyo na Waume za Watu huku wengine ukiwabambikia Watoto Aibu huwa haikushiki?Aibu imekushikaje mbumbumbu wewe na Mtateseka sana kumpakazia mtunisi wa watu, kwa taarifa yenu mwamba bado yumo sana . Ila siyo mbaya ni haki yenu mumchukie kwenye mechi 8 kawadofyoa mimba 4 mkabahatisha mechi aliyopewa red. Ni haki yenu mjitemee mate si kwa mimba hizo
Hakuna kocha wa kudumu kwenye mpira wetu, wala halihitaji utabiri hata kocha mwenyewe anaweza kuondoka kwa kufuata offer kubwa zaidi, Mgunda anaweza kuwa wa kwanza kufukuzwa Simba akamuacha Nabi Yanga.
Tuache tabia za kichawi.
naamini umeyatanua makalio yako kwa uongoViongozi wa Yanga SC waliokanusha kuwa Kocha Nabi hana Mpango wa Kufukuzwa ni Waongo na Wanafiki.
Ukweli ambao GENTAMYCINE ninao kutoka katika Vyanzo vyangu Ndani ya Klabu ya Yanga SC ni kwamba Kocha Nabi kapewa Mechi Mbili tu ya Al Hilal FC ( Sudan ) Jumapili na ile dhidi ya Simba SC ( Tanzania ) Jumapili ijayo ambapo asipozishinda zote anafukuzwa haraka mno na Kocha Cedric Kaze kubaki na Timu huku akitafutwa Kocha Mzawa Kusaidiana nae.
Sababu Kubwa ya Viongozi wa Yanga SC kuwahi Kukanusha haraka hii Taarifa ni Mbinu tu ya kutowaharibu Kisaikolojia Wachezaji na kutowachanganya Wapenzi, Mashabiki na Wanachama wao ila ukweli wa 99.9% ni kwamba Kocha Nabi kakalia Kuti Kavu ndani ya Yanga SC na anaenda Kufukuzwa.
you got inside information....atakaekubishia tena mwehu na zwazwa wa kiwango cha utopoloEndeleeni tu Kunidharau na Kunichukulia poa GENTAMYCINE hapa JamiiForums. Nilichobarikiwa nacho na Mwenyezi Mungu ni cha Kutukuka na hakina mfano.
Mtabiri vipi tupe muendelezoViongozi wa Yanga SC waliokanusha kuwa Kocha Nabi hana Mpango wa Kufukuzwa ni Waongo na Wanafiki.
Ukweli ambao GENTAMYCINE ninao kutoka katika Vyanzo vyangu Ndani ya Klabu ya Yanga SC ni kwamba Kocha Nabi kapewa Mechi Mbili tu ya Al Hilal FC ( Sudan ) Jumapili na ile dhidi ya Simba SC ( Tanzania ) Jumapili ijayo ambapo asipozishinda zote anafukuzwa haraka mno na Kocha Cedric Kaze kubaki na Timu huku akitafutwa Kocha Mzawa Kusaidiana nae.
Sababu Kubwa ya Viongozi wa Yanga SC kuwahi Kukanusha haraka hii Taarifa ni Mbinu tu ya kutowaharibu Kisaikolojia Wachezaji na kutowachanganya Wapenzi, Mashabiki na Wanachama wao ila ukweli wa 99.9% ni kwamba Kocha Nabi kakalia Kuti Kavu ndani ya Yanga SC na anaenda Kufukuzwa.
Utabiri maandazi.Viongozi wa Yanga SC waliokanusha kuwa Kocha Nabi hana Mpango wa Kufukuzwa ni Waongo na Wanafiki.
Ukweli ambao GENTAMYCINE ninao kutoka katika Vyanzo vyangu Ndani ya Klabu ya Yanga SC ni kwamba Kocha Nabi kapewa Mechi Mbili tu ya Al Hilal FC ( Sudan ) Jumapili na ile dhidi ya Simba SC ( Tanzania ) Jumapili ijayo ambapo asipozishinda zote anafukuzwa haraka mno na Kocha Cedric Kaze kubaki na Timu huku akitafutwa Kocha Mzawa Kusaidiana nae.
Sababu Kubwa ya Viongozi wa Yanga SC kuwahi Kukanusha haraka hii Taarifa ni Mbinu tu ya kutowaharibu Kisaikolojia Wachezaji na kutowachanganya Wapenzi, Mashabiki na Wanachama wao ila ukweli wa 99.9% ni kwamba Kocha Nabi kakalia Kuti Kavu ndani ya Yanga SC na anaenda Kufukuzwa.
Jamaa kiazi sanaUtabiri maandazi.