Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Acha bangi mwanangu ni mbaya. Inua wako kabla ya kuwafikiria wengine tapeli wewe.Natabiri kwa watu 21 kuinuka kiuchumi kabla mwezi huu haujaisha. Pokea kuinuka!
Wap nimeitisha pesa apa au ndo unatoa code ya Kaz Yako iyo 🤣🤣🤣Acha bangi mwanangu ni mbaya. Inua wako kabla ya kuwafikiria wengine tapeli wewe.
Una maanisha kuninuka kiuchumi mwisho wa mwezi tukipokea mishahara au🤣Natabiri kwa watu 21 kuinuka kiuchumi kabla mwezi huu haujaisha. Pokea kuinuka!
Nasubiri atuambie tumrushie sadaka kutokana na huduma yake hiyo ya unabii au utabiriAcha bangi mwanangu ni mbaya. Inua wako kabla ya kuwafikiria wengine tapeli wewe.
Si ningetoa lipa namba apo,we umeona wap🤣🤣🤣 sisi sadaka sio lazimaNasubiri atuambie tumrushie sadaka kutokana na huduma yake hiyo ya unabii au utabiri
Kwani wewe ze bulldozer au GWAJI BIRMINGHAM ndugu?Natabiri kwa watu 21 kuinuka kiuchumi kabla mwezi huu haujaisha. Pokea kuinuka!
Ni kweli. Muujiza ni namna matapeli kwa kiroho wanavyowaibia wajinga wengi waliokata tamaa na kugoma kutumia vichwa vyao.Aposto kuna muujiza huku