GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na hivi Watangazaji wake Waandamizi akina Maulid Kitenge na Yusuph Mkule bila kuwasahau na 'Wanafiki' wao wakubwa Kiutangazaji akina George Job na Musa Kawambwa kwa pamoja wote wakiwa Mashabiki wa Yanga SC hiyo itakuwa Siku yao ya 'Kuichokonoa' na 'Kuichamba' mpaka 'Kuichafua' Simba SC hasa Mwekezaji wao Mo Dewji baada ya Kigwangala 'Kuliamsha' Dude.
Najua kuwa Simba SC itashinda dhiidi ya Ihefu FC Kesho ( Leo ) ila katika Kipindi chao Ushindi hautasemwa bali ni Kudhihakiwa tu Simba SC na Mo.
Najua kuwa Simba SC itashinda dhiidi ya Ihefu FC Kesho ( Leo ) ila katika Kipindi chao Ushindi hautasemwa bali ni Kudhihakiwa tu Simba SC na Mo.