Natabiri: Mechi ya Derby kesho kuna vurugu itatokea

Natabiri: Mechi ya Derby kesho kuna vurugu itatokea

McFerson

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
2,166
Reaction score
2,322
Waasalaaaam Jf

Kichwa cha thread hii chajieleza.
Natabiri kuwa kuna timu kesho wakati wa mechi ya watani itazua vurugu .
Kuna mtani mmoja atacheza rafu sana, nyingine zitapelekea kusababisha penati na hivyo kubugizwa goli za kutosha kwa sababu ya panic na baada ya mtani huyo kubugia goli za kutosha ataamua kuleta fujo ila atatulizwa na mpira utaendelea lakini kishingo upande na utaishilizia kwa amani😎
 
Waasalaaaam Jf

Kichwa cha thread hii chajieleza.
Natabiri kuwa kuna timu kesho wakati wa mechi ya watani itazua vurugu .
Kuna mtani mmoja atacheza rafu sana, nyingine zitapelekea kusababisha penati na hivyo kubugizwa goli za kutosha kwa sababu ya panic na baada ya mtani huyo kubugia goli za kutosha ataamua kuleta fujo ila atatulizwa na mpira utaendelea lakini kishingo upande na utaishilizia kwa amani[emoji41]
Mechi ya Kesho suluhu tena 2-2...
 
Waasalaaaam Jf

Kichwa cha thread hii chajieleza.
Natabiri kuwa kuna timu kesho wakati wa mechi ya watani itazua vurugu .
Kuna mtani mmoja atacheza rafu sana, nyingine zitapelekea kusababisha penati na hivyo kubugizwa goli za kutosha kwa sababu ya panic na baada ya mtani huyo kubugia goli za kutosha ataamua kuleta fujo ila atatulizwa na mpira utaendelea lakini kishingo upande na utaishilizia kwa amani[emoji41]
time will tell
 
Ninja kesho ataua mtu
Ninja hajawa fit na kesho hatapangwa, na ni afadhali maana angecheza angekula umeme. Dickson Job naye pia pancha, kwa hiyo kesho inarudi pacha isiyoaminika kabisa, Lamine na Mwamnyeto
 
Yanga hawana timu bora kama Simba. Ila kwenye game zote za hivi karibuni za watani, nimegundua kuwa Yanga huwa wanacheza kwa kujitoa kwa asilimia 200. Hali hii huwa inawabeba sana Yanga kuliko wachezaji wa Simba na ndio maana matokeo yanakuwa upande wa Yanga au ngoma kuishia kwa droo.

Game ya leo wachezaji wa Simba watacheza kwa kujilinda ili wasiumie kwa kuwa wanaiwaza sana mechi ya Kaizer Chief kuliko hii ya Yanga, hii ni kwa vile hata Yanga ikishinda leo bado haina nafasi ya kuwa Bingwa kutokana na gap la points alizonazo Simba na mechi za viporo bado zinaibeba Simba.

Hivyo leo Yanga na kikosi chao hichohicho kichovu inaweza kuibuka na matokeo chanya kutokana na jihad waliyo nayo dhidi ya Simba iliyobweteka kwa sifa na kucheza kwa ku-relax na kuipa uzito mkubwa Kaizer kuliko Yanga .
 
Yanga hawana timu bora kama Simba. Ila kwenye game zote za hivi karibuni za watani, nimegundua kuwa Yanga huwa wanacheza kwa kujitoa kwa asilimia 200. Hali hii huwa inawabeba sana Yanga kuliko wachezaji wa Simba na ndio maana matokeo yanakuwa upande wa Yanga au ngoma kuishia kwa droo.

Game ya leo wachezaji wa Simba watacheza kwa kujilinda ili wasiumie kwa kuwa wanaiwaza sana mechi ya Kaizer Chief kuliko hii ya Yanga, hii ni kwa vile hata Yanga ikishinda leo bado haina nafasi ya kuwa Bingwa kutokana na gap la points alizonazo Simba na mechi za viporo bado zinaibeba Simba.

Hivyo leo Yanga na kikosi chao hichohicho kichovu inaweza kuibuka na matokeo chanya kutokana na jihad waliyo nayo dhidi ya Simba iliyobweteka kwa sifa na kucheza kwa ku-relax.
Mwanzoni unasema Yanga anaweza kupata matokeo KWA SABABU SIMBA ANAIWAZIA MECHI YA KAIZER, mwishoni unakuja kusema SIMBA AMEBWETEKA KWA SIFA!!!
[emoji23][emoji23][emoji23] Utopolo tulieni
 
Mwanzoni unasema Yanga anaweza kupata matokeo KWA SABABU SIMBA ANAIWAZIA MECHI YA KAIZER, mwishoni unakuja kusema SIMBA AMEBWETEKA KWA SIFA!!!
[emoji23][emoji23][emoji23] Utopolo tulieni
Mimi sio utopolo ni mwanachama na shabiki wa Simba. Na hizo sababu zote mbili ndio zinazohusika kwa Simba kutopata ushindi kwa Yanga.

Sijaongelea upenzi wangu, nimeongea fact inayopelekea Simba kutoshinda kila inapocheza na Yanga hasa kwa mechi za hivi karibuni na ya leo.
 
Mimi sio utopolo ni mwanachama na shabiki wa Simba. Na hizo sababu zote mbili ndio zinazohusika kwa Simba kutopata ushindi kwa Yanga.

Sijaongele upenzi wangu, nimeongea fact inayonikera kwa timu Yangu kutotoboa kila inapocheza na Yanga.
Kuanzia mwaka 2017 Simba na Yanga wamekutana mara 8, katika hizo Simba ameshinda mara 3, Yanga kashinda moja na sare mara 4.

Timu yako ipi hiyo inayoshindwa kutoboa kila inapokutana na Yanga? Au wewe ni shabiki wa Mwadui?
 
Kuanzia mwaka 2017 Simba na Yanga wamekutana mara 8, katika hizo Simba ameshinda mara 3, Yanga kashinda moja na sare mara 4.

Timu yako ipi hiyo inayoshindwa kutoboa kila inapokutana na Yanga? Au wewe ni shabiki wa Mwadui?
Ukizungumzia na miaka ya nyuma ya kihistoria bado Yanga yupo mbele ndio maana wanajinadi ni mabingwa wa kihistoria.

Angalia matokeo ya hivi karibuni misimu miwili iliyopita 2019, 2020.
Simba ilikuwa bingwa lakini bado tuliishia kupata droo na kufungwa.
 
Ukizungumzia na miaka ya nyuma ya kihistoria bado Yanga yupo mbele ndio maana wanajinadi ni mabingwa wa kihistoria.

Angalia matokeo ya hivi karibuni misimu miwili iliyopita 2019, 2020.
Simba ilikuwa bingwa lakini bado tuliishia kupata droo na kufungwa.
Hata hiyo 2019 na 2020 ni historia, usiseme tusiangalie historia ila sema umechagua tutumie historia ambayo wewe unahisi inawa favor Yanga.

Tangu 2019 mpaka sasa tumekutana nao mara nne... Wameshinda moja, Simba kashinda moja na sare ni mbili.
 
Kaseke anafunga goli kipindi cha Kwanza mapema na linakuwa goli gumu kulichomowa. Kagere atafunga lakini litakataliwa na kusababisha mpira kusimama.
 
Ramli tu hizi ila utopolo lazima afe kibudu leo, hatuwezi chukua ubingwa bila kumfunga utopolo haina maana
 
Back
Top Bottom