Natabiri rasmi Yanga watamaliza ligi kuu wakiwa nafasi ya nne.

Natabiri rasmi Yanga watamaliza ligi kuu wakiwa nafasi ya nne.

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Natabiri msimu huu ndio utakao kuwa msimu mbovu zaidi kwa timu yetu ya Yanga na pia droo za mara kwa mara zitatuandama na mbaya zaidi tutamaliza tukiwa nafasi ya nne na hatutoweza kupata tiketi ya kushiriki michuano yoyote ile ya kimataifa.
 
Sawa na wewe utamaliza ya 5 kwani mwaka jana si unakumbuka mpaka ukakimbilia mbeleko ya Kagera Sugar
 
Natabiri msimu huu ndio utakao kuwa msimu mbovu zaidi kwa timu yetu ya Yanga na pia droo za mara kwa mara zitatuandama na mbaya zaidi tutamaliza tukiwa nafasi ya nne na hatutoweza kupata tiketi ya kushiriki michuano yoyote ile ya kimataifa.
Yanga akimaliza wa 4 Simba atamaliza wa 5
 
Natabiri msimu huu ndio utakao kuwa msimu mbovu zaidi kwa timu yetu ya Yanga na pia droo za mara kwa mara zitatuandama na mbaya zaidi tutamaliza tukiwa nafasi ya nne na hatutoweza kupata tiketi ya kushiriki michuano yoyote ile ya kimataifa.
Ahsante mrithi wa sheikh Yahaya Hussein

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom