natabiri:SIMBA itacharazwa 2-1 na AZAM F.C

natabiri:SIMBA itacharazwa 2-1 na AZAM F.C

Makuku Rey

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2013
Posts
3,497
Reaction score
3,823
naomba mafans wa simba msinichukie na wala msinitukane!

mkitaka muwin game dhidi ya club tajiri kuwahi kutokea katka nchi yetu(AZAM FC) basi nashauri yule jamaa mkosa magoli hovyo[Mavugo]asicheze!

NGOJA TUSUBIRI,JMOSI SI MBALI!

Azam fc no#1 fan.
 
Back
Top Bottom