Natabiri tu. Baada ya uongozi wa Rais Samia, Waziri Mbarawa anaweza kushitakiwa

Natabiri tu. Baada ya uongozi wa Rais Samia, Waziri Mbarawa anaweza kushitakiwa

Amejitengenezea "Legacy" itakayodumu kwenye vinywa vya watanganyika milele kama ilivyo kwa mtwa Mangungo. 🤓
 
Hili suala la Bandari na DP World bado ni bichi na linavuja damu.

Natabiri tu, baada ya muhula wa mama, Prof. Makame Mbarawa anaweza shitakiwa kwa uhujumu uchumi. Prof Mbarawa hana kinga.

Natabiri tu.
Tutapambana,

KATIBA mpya ijayo, Kinga zote ziondolewe,

Ili Kila mtu awe sawa mbele ya SHERIA.

Wote wapite kuhesabiwa🙏🙏🙏
 
Hatuna hakika kama amesaini mbalawa kutokana na jinsi Saini zilivyowekwa kisanii
Kuna Mahali sahihi ya mtu Fulani ilisainiwa Kwa Kalamu mbili tofauti,

Wino wa bluu na black!!!

Yaani kana kwamba wino uliisha, akaomba peni Jirani,


Dude lile ni FAKE na BATILI!!!!
 
Hili suala la Bandari na DP World bado ni bichi na linavuja damu.

Natabiri tu, baada ya muhula wa mama, Prof. Makame Mbarawa anaweza shitakiwa kwa uhujumu uchumi. Prof Mbarawa hana kinga.

Natabiri tu.
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Tanganyika_Zanzibar) zitapitia wakati mgumu sana kuanzia mwezi Agosti 2023 hadi Julai 2024 katika siasa, kijamii, kiusalama, kiuchumi na kidini

VIASHIRIA
1. Kauli kali zisizo na uvumilivu
2. Matendo maovu baina ya jamii, taasisi na serikali
3. Matumizi na malengo yenye nia ovu kuhusu imani za kidini
4. Itikadi za kimapinduzi dhidi uhafidhina kutamalaki miongoni mwa wana jamii
5. Kubambikiza kesi dhidi ya wananchi wanaoiipa changamoto serikali na taasisi zake tendaji
6. Kuneneana vibaya kati ya makundi kinzani katika itikad za kisiasai na imani za kidini

MATOKEO
1. Visasi
2. Vurugu
3. Kuumizana
4. Kubambikia kesi
5. Mauaji
6. Fitina, majungu na kuchongeana vitaporomosha hadhi na vyeo vya viongozi mbalimbali
7. Ushirikiano kukoma miongoni mwa jamii
8. Kuombeana mabaya
9. Kuviziana na kudhuriana
10. Utawala kuwa hatarini kuondoshwa kwa nguvu ya umma ambayo haijawahi kutokea tangu uhuru
11. Baadhi ya viongozi walioko madarakani, wafanyabiashara na baadhi ya viongozi wa dini kukimbia nchi

SULUHISHO
Kuzungumza kiushirikishi na makundi yote, kukiri makosa, kubadili uongozi, kuthibitisha kila raia ana haki ya kuhoji anachokiona hakina maslahi ya watu na apewe jibu sahihi, kwa wakati na kwa staha ijapokuwa hana cheo chochote (dhamana ya uongozi)
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Tanganyika_Zanzibar) zitapitia wakati mgumu sana kuanzia mwezi Agosti 2023 hadi Julai 2024 katika siasa, kijamii, kiusalama, kiuchumi na kidini

VIASHIRIA
1. Kauli kali zisizo na uvumilivu
2. Matendo maovu baina ya jamii, taasisi na serikali
3. Matumizi na malengo yenye nia ovu kuhusu imani za kidini
4. Itikadi za kimapinduzi dhidi uhafidhina kutamalaki miongoni mwa wana jamii
5. Kubambikiza kesi dhidi ya wananchi wanaoiipa changamoto serikali na taasisi zake tendaji
6. Kuneneana vibaya kati ya makundi kinzani katika itikad za kisiasai na imani za kidini

MATOKEO
1. Visasi
2. Vurugu
3. Kuumizana
4. Kubambikia kesi
5. Mauaji
6. Fitina, majungu na kuchongeana vitaporomosha hadhi na vyeo vya viongozi mbalimbali
7. Ushirikiano kukoma miongoni mwa jamii
8. Kuombeana mabaya
9. Kuviziana na kudhuriana
10. Utawala kuwa hatarini kuondoshwa kwa nguvu ya umma ambayo haijawahi kutokea tangu uhuru
11. Baadhi ya viongozi walioko madarakani, wafanyabiashara na baadhi ya viongozi wa dini kukimbia nchi

SULUHISHO
Kuzungumza kiushirikishi na makundi yote, kukiri makosa, kubadili uongozi, kuthibitisha kila raia ana haki ya kuhoji anachokiona hakina maslahi ya watu na apewe jibu sahihi, kwa wakati na kwa staha ijapokuwa hana cheo chochote (dhamana ya uongozi)
Mkuu umenena sawa maana Mwalimu alisema;
Ili tuendelee tunahitaji vitu vinne,
1. Watu
2. Ardhi
3. Siasa safi, na
4. Uongozi bora.
Watu na ardhi(resources) wapi/ipo, tatizo ni hivyo viwili vya mwisho, Siasa safi na Uongozi bora.
CCM inabidi iwe na strategic visionaries, maana sasa hivi viongozi waliopo ni bora liende( hii ni hatari).
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Tanganyika_Zanzibar) zitapitia wakati mgumu sana kuanzia mwezi Agosti 2023 hadi Julai 2024 katika siasa, kijamii, kiusalama, kiuchumi na kidini

VIASHIRIA
1. Kauli kali zisizo na uvumilivu
2. Matendo maovu baina ya jamii, taasisi na serikali
3. Matumizi na malengo yenye nia ovu kuhusu imani za kidini
4. Itikadi za kimapinduzi dhidi uhafidhina kutamalaki miongoni mwa wana jamii
5. Kubambikiza kesi dhidi ya wananchi wanaoiipa changamoto serikali na taasisi zake tendaji
6. Kuneneana vibaya kati ya makundi kinzani katika itikad za kisiasai na imani za kidini

MATOKEO
1. Visasi
2. Vurugu
3. Kuumizana
4. Kubambikia kesi
5. Mauaji
6. Fitina, majungu na kuchongeana vitaporomosha hadhi na vyeo vya viongozi mbalimbali
7. Ushirikiano kukoma miongoni mwa jamii
8. Kuombeana mabaya
9. Kuviziana na kudhuriana
10. Utawala kuwa hatarini kuondoshwa kwa nguvu ya umma ambayo haijawahi kutokea tangu uhuru
11. Baadhi ya viongozi walioko madarakani, wafanyabiashara na baadhi ya viongozi wa dini kukimbia nchi

SULUHISHO
Kuzungumza kiushirikishi na makundi yote, kukiri makosa, kubadili uongozi, kuthibitisha kila raia ana haki ya kuhoji anachokiona hakina maslahi ya watu na apewe jibu sahihi, kwa wakati na kwa staha ijapokuwa hana cheo chochote (dhamana ya uongozi)
Mkuu analysis nzuri, wenye kusikia na wasikie.
 
Back
Top Bottom