wajuku wa sheikh yahya nao hawako nyuma....UCHAGUZI HAUTAKUWEPO j2.. natabiri tu....!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wajuku wa sheikh yahya nao hawako nyuma....UCHAGUZI HAUTAKUWEPO j2.. natabiri tu....!!
SALMA2015 said:UCHAGUZI HAUTAKUWEPO j2.. natabiri tu....!!
Kwa hiyo badala yake kutakuwa na nini?
Uchaguzi utakuwepo kwa maana hali ya serikali siyo nzuri kiasi cha kuruhusu kuchezea rsailimali kienyeji namna hiyo! Uchaguzi utafanyika ila utataliwa na vituko vingi sana ambavyo vitaandika historia mpya katika uchaguzi, uchaguzi huu ni zaidi ya simba na yanga.
UCHAGUZI HAUTAKUWEPO j2.. natabiri tu....!!
Siwezi kuita viroja, kwa hali waliyo nayo CCM Igunga!!! CCM are capable of doing wonders!!! Ari muradi tu wa-retain jimbo...
kwa hiyo badala yake kutakuwa na nini?
niliota hivyo,lakini sio kila ndoto,huwa kweliUCHAGUZI HAUTAKUWEPO j2.. natabiri tu....!!