Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi siyo mganga kama MziziMkavu au Mshana Jr , mimi sina kinyongo kama Kitimoto pia mimi nipo timamu kabisa sina mizengwe kama Dj DON NALIMISON wala mimi siyo intelijensia kama Infantry Soldier
Natabiri yafuatayo;
Kwenye hii miezi mitatu yaani watisa, kumi na kumi na moja yafuatayo yatatokea.
1- Ongezeko la ID nyingi zitakazo Kuwa na mlengo wa kuishambulia JamiiForums pamoja na serikali.
2- Kuna member aliye potea jukwaa zaidi ya miaka 3 na si chini ya miaka 2 ataonekana jukwaani.
3- Kuna member maarufu sana humu jukwaani atapata life ban(Permanent ban)
4- Ongezeko la Temporary ban kwa member wengine (Zaidi ni Member maarufu)
5- Viongozi wa ngazi za juu serikalini watakuja kwa ID fake.
6- Kuna mwana JF atapata teuzi serikalini
Hayo ni baadhi, hivyo nitaendelea kuwajuza.
Mimi ni mtu kutoka kuzimu, karibuni kuzimuni [emoji622]
The return of [emoji562]Dead Man
Hahaha[emoji23]Naona unaanza kurudi kwa kasi mkuu[emoji23][emoji1787], maktaba yako hukuichoma moto.
Alilo ingia LwandaMagereSiku hizi Gamboshi hapana jipya kuna chimbo jipya hapo ziwa Tanganyika ni noma
Mimi ni mtu kutoka kuzimu, karibuni kuzimuni 🗿
The return of 🗽Dead Man
Ulikuwa ndo unmaliza kula, kunywa au kuvuta nini ulipoandika uzi huu?Mimi siyo mganga kama MziziMkavu au Mshana Jr , mimi sina kinyongo kama Kitimoto pia mimi nipo timamu kabisa sina mizengwe kama Dj DON NALIMISON wala mimi siyo intelijensia kama Infantry Soldier
Natabiri yafuatayo;
Kwenye hii miezi mitatu yaani watisa, kumi na kumi na moja yafuatayo yatatokea.
1- Ongezeko la ID nyingi zitakazo Kuwa na mlengo wa kuishambulia JamiiForums pamoja na serikali.
2- Kuna member aliye potea jukwaa zaidi ya miaka 3 na si chini ya miaka 2 ataonekana jukwaani.
3- Kuna member maarufu sana humu jukwaani atapata life ban(Permanent ban)
4- Ongezeko la Temporary ban kwa member wengine (Zaidi ni Member maarufu)
5- Viongozi wa ngazi za juu serikalini watakuja kwa ID fake.
6- Kuna mwana JF atapata teuzi serikalini
Hayo ni baadhi, hivyo nitaendelea kuwajuza.
Mimi ni mtu kutoka kuzimu, karibuni kuzimuni 🗿
The return of 🗽Dead Man
Poa mwanangu nakuelewaTutaelewana tu
Mimi siyo mganga kama MziziMkavu au Mshana Jr , mimi sina kinyongo kama Kitimoto pia mimi nipo timamu kabisa sina mizengwe kama Dj DON NALIMISON wala mimi siyo intelijensia kama Infantry Soldier
Natabiri yafuatayo;
Kwenye hii miezi mitatu yaani watisa, kumi na kumi na moja yafuatayo yatatokea.
1- Ongezeko la ID nyingi zitakazo Kuwa na mlengo wa kuishambulia JamiiForums pamoja na serikali.
2- Kuna member aliye potea jukwaa zaidi ya miaka 3 na si chini ya miaka 2 ataonekana jukwaani.
3- Kuna member maarufu sana humu jukwaani atapata life ban(Permanent ban)
4- Ongezeko la Temporary ban kwa member wengine (Zaidi ni Member maarufu)
5- Viongozi wa ngazi za juu serikalini watakuja kwa ID fake.
6- Kuna mwana JF atapata teuzi serikalini
Hayo ni baadhi, hivyo nitaendelea kuwajuza.
Mimi ni mtu kutoka kuzimu, karibuni kuzimuni [emoji622]
The return of [emoji562]Dead Man
HapohapoAlilo ingia LwandaMagere