Natabiri yatakayotokea kwenye mechi ya leo Kati ya simba na orlando pirates

Natabiri yatakayotokea kwenye mechi ya leo Kati ya simba na orlando pirates

Simba anafungwa goli mbili huku jambazi wa tumbo,twiga ,punda akishuhudia
 
Mohammed hussein atang'ara sana Pia atahusika kwenye bao lao kwanza la Simba.

Lwanga atapewa kadi mbili za njano

Kapombe au sakho mmoja atapata injury

Kennedy juma atachomesha goli 1

Mugalu atakosa magoli mengi ya wazi huku mechi ikiisha Simba 1 : 1 Orlando pirates
Mkuu amka saa hizi ni 10 jioni usije ukaharibu hapo ukweni
 
Mohammed hussein atang'ara sana Pia atahusika kwenye bao lao kwanza la Simba.

Lwanga atapewa kadi mbili za njano

Kapombe au sakho mmoja atapata injury

Kennedy juma atachomesha goli 1

Mugalu atakosa magoli mengi ya wazi huku mechi ikiisha Simba 1 : 1 Orlando pirates
Kadi 2 za njano 🤣
 
Mohammed hussein atang'ara sana Pia atahusika kwenye bao lao kwanza la Simba.

Lwanga atapewa kadi mbili za njano

Kapombe au sakho mmoja atapata injury

Kennedy juma atachomesha goli 1

Mugalu atakosa magoli mengi ya wazi huku mechi ikiisha Simba 1 : 1 Orlando pirates
Unakawia nn kubeti jamaa weka laki 5 ili ushinde milion 20 lkn usinisahau
 
Mohammed hussein atang'ara sana Pia atahusika kwenye bao lao kwanza la Simba.

Lwanga atapewa kadi mbili za njano

Kapombe au sakho mmoja atapata injury

Kennedy juma atachomesha goli 1

Mugalu atakosa magoli mengi ya wazi huku mechi ikiisha Simba 1 : 1 Orlando pirates
Wala usihangaike kutabiri, mechi analysis ya JF ilifanyika jana na kuonyesha Simba atashinda goli mbili bila.

Kama huamini subiri ujionee mwenyewe mechi ikichezwa.
 
Simba anafungwa goli mbili huku jambazi wa tumbo,twiga ,punda akishuhudia
Screenshot_20220417-155650.jpg
 
Back
Top Bottom