Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Ni level za Europa league lakini.Simba ni level za Champions League kama Man City na Liverpool
Yanga ni level za ligi Watford na Leeds United
Mkuu amka saa hizi ni 10 jioni usije ukaharibu hapo ukweniMohammed hussein atang'ara sana Pia atahusika kwenye bao lao kwanza la Simba.
Lwanga atapewa kadi mbili za njano
Kapombe au sakho mmoja atapata injury
Kennedy juma atachomesha goli 1
Mugalu atakosa magoli mengi ya wazi huku mechi ikiisha Simba 1 : 1 Orlando pirates
Kadi 2 za njano 🤣Mohammed hussein atang'ara sana Pia atahusika kwenye bao lao kwanza la Simba.
Lwanga atapewa kadi mbili za njano
Kapombe au sakho mmoja atapata injury
Kennedy juma atachomesha goli 1
Mugalu atakosa magoli mengi ya wazi huku mechi ikiisha Simba 1 : 1 Orlando pirates
Dah! Had umtukane hvo kweliNyanoko
Unakawia nn kubeti jamaa weka laki 5 ili ushinde milion 20 lkn usinisahauMohammed hussein atang'ara sana Pia atahusika kwenye bao lao kwanza la Simba.
Lwanga atapewa kadi mbili za njano
Kapombe au sakho mmoja atapata injury
Kennedy juma atachomesha goli 1
Mugalu atakosa magoli mengi ya wazi huku mechi ikiisha Simba 1 : 1 Orlando pirates
Wala usihangaike kutabiri, mechi analysis ya JF ilifanyika jana na kuonyesha Simba atashinda goli mbili bila.Mohammed hussein atang'ara sana Pia atahusika kwenye bao lao kwanza la Simba.
Lwanga atapewa kadi mbili za njano
Kapombe au sakho mmoja atapata injury
Kennedy juma atachomesha goli 1
Mugalu atakosa magoli mengi ya wazi huku mechi ikiisha Simba 1 : 1 Orlando pirates
Tatizo kombe ndio mziki mneneSimba ni level za Champions League kama Man City na Liverpool
Yanga ni level za ligi Watford na Leeds United
Ingekua hivyo wasinge ingia uwanjaniWala usihangaike kutabiri, mechi analysis ya JF ilifanyika jana na kuonyesha Simba atashinda goli mbili bila.
Kama huamini subiri ujionee mwenyewe mechi ikichezwa.
Simba anafungwa goli mbili huku jambazi wa tumbo,twiga ,punda akishuhudia
Mpira unachezwa uwanjani, hizi blah blah zingine ni pata potea. Kiujumla ni maoni&wishes but not actual.Ingekua hivyo wasinge ingia uwanjani
NakaziaSimba ni level za Champions League kama Man City na Liverpool
Yanga ni level za ligi Watford na Leeds United