mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Jamaa yuko sahihi nishati ni tatizo kwa nchi yetu.Tatizo sio bei za umeme tatizo ni mkakati wa huyu bwana.ana information gap
Mambo zenu waTZ wapenda maendeleo kwa mustakabali wa Taifa letu, naanza kwa masikitiko kwani nimefanya investment kubwa bila evaluation, in mwezi uliopita tu nimesajiri jina la biashara BRELA pamoja na changamoto nilizopitia huko lkn namshukuru MUNGU nimefaulu kupata CERTIFICATE OF INCORPORATION. Nikiwa nafanya yote hayo nilishauriwa nitafute mashamba kwa ajiri ya kuandaa raw material kweli nikauza baadhi ya assets zangu nikapata mashamba mawili, zoez lililofuata ni machine za ku process ili nipate bidhaa, nikauliza bei nchini China ilikuwa ni 12M TZ shilling. Sikuwa na shaka sana ikiwa ni pamoja na shipping cost sikuogopa, shida ikaja baada ya kuanza Fanya tathmin uwezo wa machine kula umeme kwa saa pamoja na gharama za vifungashio. Nikauliza uwezo wa machine nikaambiwa ni 15hp saw na 11.2kw maana yake kwa saa natumia unit 11.2 ambazo sawa na sh.4000. Pia bei ya kila kifungashio ni 0.06$ huko China sawa na 138 ya Tz bado sijasafirisha+kodi nikagundua kila kifungashio ili nikipate niwe na kama 220 ukiweka na 18%VAT. nikaja kuchoka baada ya kujua kuwa Daresalam kuna supplier anae import toka China unajumlisha kwa 300 kila packet ya stick, kwa tathmini ya haraka Mimi nikizalisha niuze kila packet moja 800, yani hapa vidonda vya tumbo vinaninyemelea
Mkuu vidonda vya tumbo kwa nini?kwani hizo vijitiza kuchokono meno vinauzwa bei ngapi retail?
Nilishawahi fikiria hii project 3 years back na niko na full proposal na mshauri wangu tulifikia point ya kukubaliana kuwa THIS PROJECT IS INFEASIBLE IN TZ. Unachokisema ni kweli, tulipata shida sana na bei ya umeme plus other costs. Hapo mm kama mm sina cha kukushauri, chekecha data zako vizuri
Ukishafungua kiwanda chako ongea na serikali toothpick zinazokuja toka nje zipigwe ushuru mkubwa. Lazima tulinde vya nyumbani (Kama quality nzuri na kama vinajitosheleza).
Tatizo laja kwenye umeme na pia demand ni kubwa
Hapo zahitajika mashine nyingi kama za kukata
Kusafisha
Kuchonga etc
Anzisha kiwanda cha kutengeneza izo plastic. Material yapo.Yes' kale kakopo ka plastic
Anzisha kiwanda cha kutengeneza izo plastic. Material yapo.
Unataka kutumia material gan kutengeneza toothpick. Kma ni za miti ya kwaida, itakula kwako.
Be blessed, thanks more
CHUMA[emoji123] Never Never Never Never give up. Ukikata tamaa ndio umekwisha.mimi huwa nasheria moja nikianza kitu sirudi nyuma. usirudi nyuma na usitangaze kushindwa wakati safari ndo inaanza.