Natafakari nini cha kumfanya...

Nasikitika kukwambia hata tuki kushauri utaendelea kua mnyonge wa mapenzi tu.Hauta sikia wala kukoma uta tamani kufanya kitu/jambo ila hauta weza uta baki kutamani tu

Usha ona ayo yote lakini bado humo tuuu
Binadamu tuna kitu kinaitwa hope/matumaini labda atabadilika kwa kujipa moyo lakini mpaka nimeamua kulileta hapa limefika mwisho kwangu moyo wangu ushaingia chuku sana kwa sasa
 
Ngumu kumesa hii

Ndiyo hivyo, watu tunasahau kwamba kuna service tulipata kwenye hayo mahusiano.

Na service hiyo kwa sababu hakuna soko la kupanga bei, tunafikia kutumia ile ya "fair value", ikimaanisha "ulichokubali kulipa kina thamani sawa na ulichopokea".
 
Kwani kuumizwa ni kwenye pesa tu? Hatujui na huyo dada angeumizwa kiasi gani.
Nilichokuja kugundua anajijua ni mzuri sana na anaile character ya wapo wengi wananitaka na ndio ukweli lakn kwa tabia zake ni ngumu kudumu na mtu nimevumilia sababu nilimpenda kweli
 
Nakubaliana na wewe kabsa sema niko kwenye kipindi kigumu sana cha kujiuliza kosa liko wapi au hawa viumbe ndio walivo hivi au nimekosea chaguo.

Hilo ni darasa mkuu, ukipigwa mara nyingine tena ndo utaanza kugraduate kwenye hizi mambo.
 
Single mother huwajuii wewe mbona bado narudia NA BADO
 
Hongera kwa ubunifu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…