Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
aisee futa namba zake zote za simu alafu endelea na shuhuli za ujenzi wa taifa la uchumi wa chini-kati.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata sijavihesabu sina haja navyo kaka kabsa, kwa sasa roho yangu ili iwe na amani natamani apate maumivu yangu alafu basi niendelee na maisha yanguKama kun vitu unaweza ludisha kwako ludisha ila kwa akili usilipe kisasi katik 10m hakun material thing ?
Hahahhah
True kaka sema sidhani kama sitakuja mfanya kitu kibaya mbeleniaisee futa namba zake zote za simu alafu endelea na shuhuli za ujenzi wa taifa la uchumi wa chini-kati.
achana naye huyo njaa kali.True kaka sema sidhani kama sitakuja mfanya kitu kibaya mbeleni
Kosa ulilofanya wewe ni kupenda mwanamke. Hao sio wakuoenda ni wakusasambua tuu mbususuNakubaliana na wewe kabsa sema niko kwenye kipindi kigumu sana cha kujiuliza kosa liko wapi au hawa viumbe ndio walivo hivi au nimekosea chaguo.
Brother 10M+ sio masihara kwa week nilikuwa na tuma 50k at least mara 4 au 3 bado plus ada, vitu vyakula ndani, mtaji,furnitures plus vingi na vingi but in all yani vyote ivo hajaviona yani kweli wanawake ni watu wa ajabu sana kuna mda nilimkodishia gari miezi mitatu nalipa, siku anashida ya hela ya kula nilibidi niweke bond simu kwa masaa machache ili nitume hela ya kununua vitu leo unaniambia nisimfanye kitu kweli?Milioni 10 kwa miezi 6..?
Learnt my lessonKosa ulilofanya wewe ni kupenda mwanamke. Hao sio wakuoenda ni wakusasambua tuu mbususu
Sijaona tatizo la single mothers in general labda huyu tu anamashida yake na tamaa, Sidhani kama kuna link yoyote aliyoyafanya na kuwa single mother nisaidie hapo kujua uhusiano uliopoTatizo lilianza hapa ""....... mapenzi yalianza kwa mbwebwe mpaka nyumba kwetu na kwao plus mtoto wake na mzazi...""
Una ji-komit vipi kwa Single Maza?
Single maza ni wa kuwapelekea moto tuu. Yaani unakaa chini na kumpenda single maza [emoji15][emoji15][emoji15]
Jokajeusi njoo uone hii mtu.
#YNWA
Unampendaje mwanamke?Sijaona tatizo la single mothers in general labda huyu tu anamashida yake na tamaa, Sidhani kama kuna link yoyote aliyoyafanya na kuwa single mother nisaidie hapo kujua uhusiano uliopo
Ndio shekh!mkuu, una date na malaya
je , ngoma umepima ?
Ada ya nani au ulizaa nae?Brother 10M+ sio masihara kwa week nilikuwa na tuma 50k at least mara 4 au 3 bado plus ada, vitu vyakula ndani, mtaji,furnitures plus vingi na vingi but in all yani vyote ivo hajaviona yani kweli wanawake ni watu wa ajabu sana kuna mda nilimkodishia gari miezi mitatu nalipa, siku anashida ya hela ya kula nilibidi niweke bond simu kwa masaa machache ili nitume hela ya kununua vitu leo unaniambia nisimfanye kitu kweli?
lipa kisasi mkuu kupunguza machunguNdio shekh!
Ujinga wako ulianzia hapapocket money, hela ya kula nyumbani, kodi ata ada ya mtoto na vitu