Kipengele kipo hapa. Wenyewe wanataka waje wakutegemee wewe.ajitegemee
ndo maana huend kichwa kichwa , huendeshw na upwiru ila na akili zoteKipengele kipo hapa. Wenyewe wanataka waje wakutegemee wewe.
Wakipata uwezo wa kujitegemea tu na wanaume hawawataki yena.
sote tunachoka kikubwa kichani, na asiwe single mother32 kumuoa mke mwenye 30 sio poa kabisa tafta kuanzia 23 adi 27. Wanawake wanachoka mapema.
Endelea kutaftamambo vipi waungwana,
jamani mimi ni mwamba hapa 32 toka niwepo hapa duniani, napatikana pande za dar, mwajiriwa kwenye kampuni kubwa tu si haba kubadili mboga na hta kwenda kibaha kuulizia kiwanja sio issue kabisa,
mimi mwaka huu nataka nivute jiko maisha ya usela yanachosha ila sasa kipengele mama la mama hayupo, basi kama humu yupo naye yuko dilema ebu anicheki tuyajenge , kikubwa umri uwe kuanzia miaka 25 hadi 30 sio issue, ajitegemee , mkiristo,
karibuni sana
kama kalambwandausiwaze bablai hapa mamzi unapata
kama pochi iko freshi basi hainaga ngebe
kwa maelezo hapo basi salary ni mita ndefu
Ndo utusagie kunguni?32 kumuoa mke mwenye 30 sio poa kabisa tafta kuanzia 23 adi 27. Wanawake wanachoka mapema.
Nakuja nisubiri hapo hapo.sote tunachoka kikubwa kichani, na asiwe single mother
karibu tujenge malengoNakuja nisubiri hapo hapo.
Ata hapo nimejitaidi.Ndo utusagie kunguni?
Mwamba huko unakopitaga hujapata jamani? Anyway utapata wa hapa usijali rafkmambo vipi waungwana,
jamani mimi ni mwamba hapa 32 toka niwepo hapa duniani, napatikana pande za dar, mwajiriwa kwenye kampuni kubwa tu si haba kubadili mboga na hta kwenda kibaha kuulizia kiwanja sio issue kabisa,
mimi mwaka huu nataka nivute jiko maisha ya usela yanachosha ila sasa kipengele mama la mama hayupo, basi kama humu yupo naye yuko dilema ebu anicheki tuyajenge , kikubwa umri uwe kuanzia miaka 25 hadi 30 sio issue, ajitegemee , mkiristo,
karibuni sana
Sasa hv sambasamba nani anataka kwenda eda na umri mdogo,32 kumuoa mke mwenye 30 sio poa kabisa tafta kuanzia 23 adi 27. Wanawake wanachoka mapema.
Atafute wa kuanzia 22 hadi 27 aishie hapo32 kumuoa mke mwenye 30 sio poa kabisa tafta kuanzia 23 adi 27. Wanawake wanachoka mapema.
sinaga hzo mbishe za kupita pita, maana uzinzi ni umasikini mkuu, ndo maana nimeona nije nichungulie humu mama la mama akipatikana,Mwamba huko unakopitaga hujapata jamani? Anyway utapata wa hapa usijali rafk
22 mzee vitoto hvyo tutaanza kusumbuana tuAtafute wa kuanzia 22 hadi 27 aishie hapo
Gap la kuanzia 10 to 5 yrs
ndo hapo sasa, ww ushamaliza chenyewe ndo kinaanza kukimbizana na duniaSasa hv sambasamba nani anataka kwenda eda na umri mdogo,
Wee hela huna! Uwe na hela ukose hawa viumbe?mambo vipi waungwana,
jamani mimi ni mwamba hapa 32 toka niwepo hapa duniani, napatikana pande za dar, mwajiriwa kwenye kampuni kubwa tu si haba kubadili mboga na hta kwenda kibaha kuulizia kiwanja sio issue kabisa,
mimi mwaka huu nataka nivute jiko maisha ya usela yanachosha ila sasa kipengele mama la mama hayupo, basi kama humu yupo naye yuko dilema ebu anicheki tuyajenge , kikubwa umri uwe kuanzia miaka 25 hadi 30 sio issue, ajitegemee , mkiristo,
karibuni sana