Tundazuri
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,932
- 2,525
Ninachomaanisha ni kwamba huko unakoji associate kanisani, makazini, kwenye semina, vyuo uliosoma nao maana hao unakuwa unawafahamu kwa sehemu na umeona tabia zao, sijamaanisha kufanya uzinzi. Nilishauri uangalie huku kama unataka wa kuoa na kama unataka stress ufe mapema uchanganyie na ujikute unalewa sana, subiri tu utapata niko pale niite mbwasinaga hzo mbishe za kupita pita, maana uzinzi ni umasikini mkuu, ndo maana nimeona nije nichungulie humu mama la mama akipatikana,