Ninachomaanisha ni kwamba huko unakoji associate kanisani, makazini, kwenye semina, vyuo uliosoma nao maana hao unakuwa unawafahamu kwa sehemu na umeona tabia zao, sijamaanisha kufanya uzinzi. Nilishauri uangalie huku kama unataka wa kuoa na kama unataka stress ufe mapema uchanganyie na ujikute unalewa sana, subiri tu utapata niko pale niite mbwasinaga hzo mbishe za kupita pita, maana uzinzi ni umasikini mkuu, ndo maana nimeona nije nichungulie humu mama la mama akipatikana,
Nashangaa na mimiWee hela huna! Uwe na hela ukose hawa viumbe?
Wanaotaka kuolewa wapo mtaani kibao tu wamejaa22 mzee vitoto hvyo tutaanza kusumbuana tu
Usije kufa kwa stressndo hapo sasa, ww ushamaliza chenyewe ndo kinaanza kukimbizana na dunia
Wanakushauri huo umri uwa control vizuri22 mzee vitoto hvyo tutaanza kusumbuana tu
Wee hela huna! Uwe na hela ukose hawa viumbe?
mkuu tofautisha mke na malaya, ulimwengu unakumbwa na changamoto ya uhaba wa wanawake wenye uwezo wa kuwa wake, ila una changudoa wengi mno wenye mavazi ya wake, sasa kuwa makini na wahenga walisema ukiwa na huna hela uwezekano wa kupata mke ni mkubwa, ila ukiwa na hela utavuta malaya wengi mno,Wee hela huna! Uwe na hela ukose hawa viumbe?
utamcontrol for while ila akisimama atataka uhuru na kukataa kuwa controlled, hapo ndo vita sasaWanakushauri huo umri uwa control vizuri
Haiombwagwi hivyo brazamambo vipi waungwana,
jamani mimi ni mwamba hapa 32 toka niwepo hapa duniani, napatikana pande za dar, mwajiriwa kwenye kampuni kubwa tu si haba kubadili mboga na hta kwenda kibaha kuulizia kiwanja sio issue kabisa,
mimi mwaka huu nataka nivute jiko maisha ya usela yanachosha ila sasa kipengele mama la mama hayupo, basi kama humu yupo naye yuko dilema ebu anicheki tuyajenge , kikubwa umri uwe kuanzia miaka 25 hadi 30 sio issue, ajitegemee , mkiristo,
karibuni sana
Kama utani hivi lkn just imagine mtoto aliyezaliwa nikiwa form three najikuta nampigia sound nikijuwa atakuwa na 27 kumbe ndo kwanza ana 19.Atafute wa kuanzia 22 hadi 27 aishie hapo
Gap la kuanzia 10 to 5 yrs
aah mzee mwenzangu nishindwe kuomba mtaani nije huku kweli, usilete mzaha msibaniHaiombwagwi hivyo braza
Narudia nyapi hatafutwi hivyoaah mzee mwenzangu nishindwe kuomba mtaani nije huku kweli, usilete mzaha msibani
sawa kapteni motoNarudia nyapi hatafutwi hivyo
sawa kapteni moto
mwanangu bikra unawapata wapiFaida za kuoa mwanamke bikra
Utengenezaji wa bidha viwandani huwa wanaweka kitu kinachoitwa SEAL. Bidha yenye SEAL maana yake ni mpya, haijaguswa na MTU yeyote. Ukiona product haina SEAL, hiyo ni used, maana yake Imetumika. Kikawaida bidha iliyotumika inakuwa sio bora na ni hatari sana Kuitumia. Kuna uwezekano mkubwa...www.jamiiforums.com
Pitia na hapa brazaa
Sokonimwanangu bikra unawapata wapi
sawaSokoni
sitafti malaya natafta mke,Kama unalipwa kuanzia milioni Tano Kwa mwezi kwenye hiyo kampuni sema nikuunganishe Kuna mchaga mrembo namfahamu.si unajua wachaga kwenye maokoto hawana ujanja.
Kwa hiyo unafikiri utapata bikra?.Kwa umri wako utapata japanese used car Tena namba Asitafti malaya natafta mke,
issue sio used issue ni mwanamke mwenye sifa za kuwa mke, sasa unapotaja pesa maana yake unataka nitumie pesa kumshawishi, tofasiri yake huyo ni bidhaa, yaani malaya,Kwa hiyo unafikiri utapata bikra?.Kwa umri wako utapata japanese used car Tena namba A