Dini yoyote , nchi yoyote ile, asiwe mfupi,urefu wa wastani au mrefu zaidi, mzuri wa shape na sura,rangi yoyote, mwenye mawazo chanya,elimu walau darasa la saba, umri asizidi miaka 28
Juu yangu:
Mrefu, mweupe,mjasiriamali,degree chuo kikuu, mchaga, miaka 28, mkristo
Karibu pm
kweli kabisa nilitaka kumfata lkn hilo jina nimewaza mengi ,siku atanikana hanijui huyuuu😀😀
Mai [emoji777]Ok mai nitafanya hivo, hebu nisaidie ku mtag mmoja wao apa nimfate , kama utaweza
Mai ni kichaga ndugu, mai=mamaMai [emoji777]
My [emoji818]
Wachaga wabahiri haoookweli mkuu😀😀, nilikua nakuja nilivoona hilo jina, nikarudi kwa speed(joke bana mchaga )
Ohooo, kumbe[emoji3] [emoji3] bora achukuliwe mke wake kuliko pesa ?duuh wako in love na pesa kiasi hichoo, vipi wee "hunijui sikujui" hizi tuhuma ni za kweli?Wachaga wabahiri haooo
Aisee bora uchukue mke, Ila si pesa yao eti,anaweza ua kabisa
Hela hela acha kabisa.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] ,kweli my friend huenda jina linasadifu yaliyomo ndaniHaaaaaaaa haaaaaaaa you made my Day my friend.
Hapana Sio kweli, money goes honey staysWachaga wabahiri haooo
Aisee bora uchukue mke, Ila si pesa yao eti,anaweza ua kabisa
Hela hela acha kabisa.
Hapana sio kweli, mke ni kila kituOhooo, kumbe[emoji3] [emoji3] bora achukuliwe mke wake kuliko pesa ?duuh wako in love na pesa kiasi hichoo, vipi wee "hunijui sikujui" hizi tuhuma ni za kweli?
Vile vile linaweza lisi sanifu[emoji3] [emoji3] [emoji3] ,kweli my friend huenda jina linasadifu yaliyomo ndani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] takii uchokoziii hukoo
Haya Mangi, Usijali na usibadilishe sababu tumesema ,kama kweli una nia ya dhati ya hilo ombi lako,utampata tu atakayekupenda wewe pamoja na hilo jina lako [emoji3]Looking 4ward kulibadilisha madam, usiogope
Copy that ma'mHaya Mangi, Usijali na usibadilishe sababu tumesema ,kama kweli una nia ya dhati ya hilo ombi lako,utampata tu atakayekupenda wewe pamoja na hilo jina lako [emoji3]
Haha, upendo huangukia popote mamaa Dinnah tena mchaga na mnyaki itakua poa hyo , ila tu umeniogopesha ulivosema wanapenda pesa kuliko mke[emoji3]@financial service usiogope dear
Id fake isikupe hofu pengine ni soulmate wako kabisa
Haha haha
Haupendi mchaga nn mnyakyu.
[emoji12] [emoji12] ,hutaniwi mkuu[emoji3][emoji6] nakusbiriii au niwe mgeni wako leo
Hahaaa, kweli kabisa anafanya nihamie kwake wakati nilikua wa Hunijui sikujui teh