Natafta mtaji wa kuanzisha kilimo Dar es salaam kisiju( seekin for a capital to start farming here in Dar es salaam kisiju)

Natafta mtaji wa kuanzisha kilimo Dar es salaam kisiju( seekin for a capital to start farming here in Dar es salaam kisiju)

ADESIGN

Member
Joined
Apr 8, 2020
Posts
32
Reaction score
28
Habari. Mimi ni mkazi wa dar es salaam, natafta sana mtaji wa kuanzisha biashara ya kilimo hapa dar kisiju, eneo la kufanyia kilimo ninalo, ila sina mtaji wa kuanzisha kilimo kwa ujumla, nimeazimwa shamba la kulikia na jamaa wa karibu heka 11, na eneo lina asili ya maji chini kama nikichimba kisima. Naombeni msaada sana kwa namna ya aina yoyote ile hata ushauri
 
Uza heka tano pata mtaji,lima heka sita songa mbele.Sema ukimskilizia mtu wa kukusaidia mtaji naona inaweza chukua muda.
 
Sawa kijana uko na roho ya uthubutu kijana ila cha kukushauri kama ndio unaanza kujitafuta biashara ya kilimo haikufai tafuta aina nyingine ya biashara uandae mchanganuo mzuri kisha ndio utafute wadhamini.
Biashara ya kilimo inawafaa watu wenye pesa za ziada na wenye biashara nyingi so hata kilimo kikimtenda haumii sana atafidia pesa yake kupitia biasharq zake zingine ila kama ni mwenzangu na mimi ndio umekopa hela uiingize shambani ndugu yangu utalia na kusaga meno.
 
Sawa kijana uko na roho ya uthubutu kijana ila cha kukushauri kama ndio unaanza kujitafuta biashara ya kilimo haikufai tafuta aina nyingine ya biashara uandae mchanganuo mzuri kisha ndio utafute wadhamini.
Biashara ya kilimo inawafaa watu wenye pesa za ziada na wenye biashara nyingi so hata kilimo kikimtenda haumii sana atafidia pesa yake kupitia biasharq zake zingine ila kama ni mwenzangu na mimi ndio umekopa hela uiingize shambani ndugu yangu utalia na kusaga meno.
Usimkatishe tamaa. Biashara ya kilimo inamfaa Sana Tu tena Sana na haswa haswa Kwa Akina ' Pangu pakavu Tia mchuzi' Iwapo, narudia tena iwapo Tu unakichukulia kilimo Kama biashara nyingine yeyote na ukawa na malengo ya muda Mrefu. Full stop!!
 
Usimkatishe tamaa. Biashara ya kilimo inamfaa Sana Tu tena Sana na haswa haswa Kwa Akina ' Pangu pakavu Tia mchuzi' Iwapo, narudia tena iwapo Tu unakichukulia kilimo Kama biashara nyingine yeyote na ukawa na malengo ya muda Mrefu. Full stop!!
Labda kama unaongelea kilimo cha jembe la mkono cha kuvuna gunia tatu za kula mwenyewe na familia yako.
Na ukisema ulime kwa malengo ya muda mrefu ndio unatakiwa uwe na pesa ndefu yenye muendelezo yaani kwa mfano umelima mara ya kwanza halafu ukavuna mabua msimu unaofuata unaingiza pesa tena may be unavuna kiasi fulani unarudisha nusu ya mtaji kisha msimu wa tatu unaingiza tena pesa ndio unavuna na kupata kafaida kidogo.
Sasa hizo pesa za kuingiza shambani kwenye hiyo misimu yote utakuwa unazipata wapi kama ni pangu pakavu?
Nani atakubali kukukopesha hela mara mbili na huku anakuona kabisa awamu ya kwanza umeingiza pesa shambani na hazijarudi.
 
Labda kama unaongelea kilimo cha jembe la mkono cha kuvuna gunia tatu za kula mwenyewe na familia yako.
Na ukisema ulime kwa malengo ya muda mrefu ndio unatakiwa uwe na pesa ndefu yenye muendelezo yaani kwa mfano umelima mara ya kwanza halafu ukavuna mabua msimu unaofuata unaingiza pesa tena may be unavuna kiasi fulani unarudisha nusu ya mtaji kisha msimu wa tatu unaingiza tena pesa ndio unavuna na kupata kafaida kidogo.
Sasa hizo pesa za kuingiza shambani kwenye hiyo misimu yote utakuwa unazipata wapi kama ni pangu pakavu?
Nani atakubali kukukopesha hela mara mbili na huku anakuona kabisa awamu ya kwanza umeingiza pesa shambani na hazijarudi.
Ushauri wangu unalenga Kwa vyote viwili, yaani Kwa aliye na mtaji na Akina Pangu pakavu. Lakini Kwa Akina Pangu pakavu Tia mchuzi' ndipo mahali pakutobolea.
Kwanza hakuna mtu wala taasisi ya fedha inayompa Mkopo mtu asiyekuwa na cents za kuanzia yeye mwenyewe. Hivyo basi Pangu Pakavu akishalijua Hilo Hana HAJA ya kuwa na shida ya mafanikio ya haraka sababu Hana huo uwezo. Anatakiwa apange mipango ya muda Mrefu 'Long term Plans' kutegemea na ulichonacho Binafsi pasipo kuomba Mkopo kokote kule, jasho lako Tu Kwa kuanzia litakupa mafanikio iwapo utakuwa na mipango ya muda Mrefu.
NI kwanini iwe ' Long term Plans' sababu huna kitu na hata iweje uwezi fanikiwa Kwa muda mfupi! Matokeo yake utaishia kuhesabu siku Tu, wiki, miezi Hadi miaka utakuwa pale pale Tu. Kama huna mtaji na wala huna assets basi 'Komaa' Kwa nguvu na akili zako Kwanza ili update kianzio. Tatizo linalosumbua NI kwamba unataka ufanikiwe haraka haraka wakati mtaji haupo. Karibu Kwa ushauri
 
Ushauri wangu unalenga Kwa vyote viwili, yaani Kwa aliye na mtaji na Akina Pangu pakavu. Lakini Kwa Akina Pangu pakavu Tia mchuzi' ndipo mahali pakutobolea.
Kwanza hakuna mtu wala taasisi ya fedha inayompa Mkopo mtu asiyekuwa na cents za kuanzia yeye mwenyewe. Hivyo basi Pangu Pakavu akishalijua Hilo Hana HAJA ya kuwa na shida ya mafanikio ya haraka sababu Hana huo uwezo. Anatakiwa apange mipango ya muda Mrefu 'Long term Plans' kutegemea na ulichonacho Binafsi pasipo kuomba Mkopo kokote kule, jasho lako Tu Kwa kuanzia litakupa mafanikio iwapo utakuwa na mipango ya muda Mrefu.
NI kwanini iwe ' Long term Plans' sababu huna kitu na hata iweje uwezi fanikiwa Kwa muda mfupi! Matokeo yake utaishia kuhesabu siku Tu, wiki, miezi Hadi miaka utakuwa pale pale Tu. Kama huna mtaji na wala huna assets basi 'Komaa' Kwa nguvu na akili zako Kwanza ili update kianzio. Tatizo linalosumbua NI kwamba unataka ufanikiwe haraka haraka wakati mtaji haupo. Karibu Kwa ushauri
Uko sahihi!
 
Sawa kijana uko na roho ya uthubutu kijana ila cha kukushauri kama ndio unaanza kujitafuta biashara ya kilimo haikufai tafuta aina nyingine ya biashara uandae mchanganuo mzuri kisha ndio utafute wadhamini.
Biashara ya kilimo inawafaa watu wenye pesa za ziada na wenye biashara nyingi so hata kilimo kikimtenda haumii sana atafidia pesa yake kupitia biasharq zake zingine ila kama ni mwenzangu na mimi ndio umekopa hela uiingize shambani ndugu yangu utalia na kusaga meno.
High Risk, High Profit!
 
Back
Top Bottom