natafta rafiki mkristo

natafta rafiki mkristo

suzy daniel

Member
Joined
Mar 12, 2014
Posts
57
Reaction score
10
natafta rafki mkiristo ambae ni jinsia yoyote kwa ajir ya kukumbushana neno la mungu
 
natafta rafki mkiristo ambae ni jinsia yoyote kwa ajir ya kukumbushana neno la mungu

Weka picha tuone.

Afu kuna jukwaa la dini kule. Hapa chitchat hakuna udini. Tunabanjuana kwa raha zetu. Tunanyang'anyana wapenzi bila shuruti. Yani full kujiachia isipokuwa ushoga na usagaji.

Baada ya kusema hayo, hebu chapchap sana kam zis wei nikukague kikristo ili ujiunge kwenye timu yetu pendwa ya mabazazi ya ukweli.

cc KakaKiiza kwa taarifa na angalizo.
 
Last edited by a moderator:
Kuna jukwaa la dini, pia kuna magroup mbali mbali hapa jf, ingia sehem ya magroup utalikuta group linalo itwa JIFUNZE BIBLIA tutakutana wengi tu.
 
natafta rafki mkiristo ambae ni jinsia yoyote kwa ajir ya kukumbushana neno la mungu

mdogo wangu suzy daniel usibague sio vizuri hili jukwaa ni la dini zote kabila zote jinsia zote nk nk nk .ukitaka kukumbushana neno la Mungu mwagika tu mistari utapata wachangiaji lakini usitangulize dini mbele unasikia mdogo wangu suzy...! Haya mama nakupenda sana usisahau kuoga mapema leo eeh mama na kufanya homework
 
jamani jamani jamani jamani jamani jamani jamani jamani jamani
heeeeeeeeeeeeee! mmapo ngafu lelo

Weka picha tuone.

Afu kuna jukwaa la dini kule. Hapa chitchat hakuna udini. Tunabanjuana kwa raha zetu. Tunanyang'anyana wapenzi bila shuruti. Yani full kujiachia isipokuwa ushoga na usagaji.

Baada ya kusema hayo, hebu chapchap sana kam zis wei nikukague kikristo ili ujiunge kwenye timu yetu pendwa ya mabazazi ya ukweli.

cc KakaKiiza kwa taarifa na angalizo.
 
Weka picha tuone.

Afu kuna jukwaa la dini kule. Hapa chitchat hakuna udini. Tunabanjuana kwa raha zetu. Tunanyang'anyana wapenzi bila shuruti. Yani full kujiachia isipokuwa ushoga na usagaji.

Baada ya kusema hayo, hebu chapchap sana kam zis wei nikukague kikristo ili ujiunge kwenye timu yetu pendwa ya mabazazi ya ukweli.

cc KakaKiiza kwa taarifa na angalizo.

Hahahahaaaa hv unajua Asprin hujatulia kabisa...!
 
Last edited by a moderator:
Babu Asprin a.k.a inspector naona uko kazini lol inaonekana kila manzi umemkagua hatari sana wewe. Habari yako lakn mzee.
 
Last edited by a moderator:
mdogo wangu suzy daniel usibague sio vizuri hili jukwaa ni la dini zote kabila zote jinsia zote nk nk nk .ukitaka kukumbushana neno la Mungu mwagika tu mistari utapata wachangiaji lakini usitangulize dini mbele unasikia mdogo wangu suzy...! Haya mama nakupenda sana usisahau kuoga mapema leo eeh mama na kufanya homework

Kijana taratibu bado sijakagua hapo. Usidanganywe na ID yake, waeza kuta ni dume linanyemelea wake zetu humu kijanjajanja kwa kutumia mbeleko pendwa ya ucha Mungu. stuka kijana., Think!!!!
 
Babu Asprin a.k.a inspector naona uko kazini lol inaonekana kila manzi umemkagua hatari sana wewe. Habari yako lakn mzee.

Kama kuna kidemu kinakusumbua huju just inbox me kwa PM. Ntakupa wasifu wake na kama vipi nakuletea mpaka home. We kazi yako ni kumchujia protini tu. Ila ndo ujue kuna malipo hapo.
 
Last edited by a moderator:
jamani jamani jamani jamani jamani jamani jamani jamani jamani
heeeeeeeeeeeeee! mmapo ngafu lelo

Haka kamwandiko nakafananisha na kabinti kamoja nlishakakagua humu ndani. Kama ndo wewe jitambulishe kabla sijakupangia ratiba ya ukaguzi.
 
Kwakweli hebu kuwa rafiki yangu unihubirie hadi niache laga
 
heheheheheeee ulishanifanyia ukaguzi halafu ulinipa chocolate
ukasema hii ndo shukrani yako kwangu umesahau tena

KUMBUKA BHANA

Haka kamwandiko nakafananisha na kabinti kamoja nlishakakagua humu ndani. Kama ndo wewe jitambulishe kabla sijakupangia ratiba ya ukaguzi.
 
Weka picha tuone.

Afu kuna jukwaa la dini kule. Hapa chitchat hakuna udini. Tunabanjuana kwa raha zetu. Tunanyang'anyana wapenzi bila shuruti. Yani full kujiachia isipokuwa ushoga na usagaji.

Baada ya kusema hayo, hebu chapchap sana kam zis wei nikukague kikristo ili ujiunge kwenye timu yetu pendwa ya mabazazi ya ukweli.

cc KakaKiiza kwa taarifa na angalizo.

babuuuuuuuuuuuuuu
 
heheheheheeee ulishanifanyia ukaguzi halafu ulinipa chocolate
ukasema hii ndo shukrani yako kwangu umesahau tena

KUMBUKA BHANA

Ewaa nshakukumbuka. Tena we sikumalizia kukukagua. Kam zis wei kwa ukaguzi wa mwisho. Tena uje without.
 
babu kwani hadi supu ya pweza? kwani umezeeka kiasi iko?

Tena supu ya pweza haitoshi, shurti tena niangalie mananiliu kwa DVD ndo kifaa kikuu cha ukaguzi kinakuwa tayari kwa kazi. Hujajibu, uliniita???
 
Back
Top Bottom