Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Hiyo mistari miwili inakazi gani?View attachment 1960323
upo dar? nenda gerezani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo mistari miwili inakazi gani?View attachment 1960323
upo dar? nenda gerezani
Hamna zilikuwa home enzi nikiwa mtotoumesoma boarding 80's au 90's?
Hii ndoo nzito kabla haijawekwa maji.View attachment 1960323
upo dar? nenda gerezani
Ukiibebea maji kama ni lita 20 basi ujue ndoo pekee ni kilo 10[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]View attachment 1960323
upo dar? nenda gerezani
au asbestoz..Msije mkatuambia mikono yake ni madini ya almasi[emoji16]
Kama kukamulia maziwa zipo za aluminiamu maalum kwa maziwa, nenda maduka ya uhindini utazipata, hizi chafu zitakutia hasara kwa maziwa kukatika.Nahitaji kama 20 za kukamulia maziwa.
Dah hii ndoo ilikuwaga nyumban tangu mim nipo mdogo, ilipoteaga tu kwa kutatanisha mnamo 2008 na hatukuiona tena mtaa mzima
Nenda Kariakoo gerezani utapata hata 100Nahitaji kama 20 za kukamulia maziwa.