Natafura rent ya muda mfupi

Kwame Nkrumah

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2008
Posts
886
Reaction score
376
Nina wageni wanatarajia kufika mjini Dar mapema mwakani. Nitahitaji nyumba mbili au apartments mbili zenye umeme wa uhakika, AC, at least 2 bedrooms and at least 2 bathrooms, ziwe full furnished. Do not bother to give me your information kama hakuna ulinzi wa uhakika. Weka information hizo hapa, nina uhakika zitawasaidia wengine wengi. Andika na kodi kwa mwezi tafadhali. Nitapanga kwa muda wa miezi miwili.
 
Una maeneo unayoyapendelea au nyumba iwe mahali popote utachukua tu as long as zinameet vigezo vyako?
 
Una maeneo unayoyapendelea au nyumba iwe mahali popote utachukua tu as long as zinameet vigezo vyako?

Mkuu Ambassador, ingekuwa poa kama itakua maeneo ya Mwenge, Kijitonyama, Sinza, Masaki, Mikocheni, Tegeta, Mbezi.
 
Unatafuta "rent" au "rental" ?

Lugha za watu hizi jamani kama vipi Kiswahili kinatosha sana tu.
 
Mkuu Kwameh,
Area za karibu na Makao Makuu ya Celtel ni ideal?Je ni lazima ziwe zote kwa pamoja au hata kama ninayo 1 ni sawa?
Kama ni sawa ninayo 1 ambayo itakuwa vacant from February.2011, kama ni ideal kwako niambie its a decent house 1500USD/MONTH.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…