Natafuta a real man wa kula naye bata.

Natafuta a real man wa kula naye bata.

Mku huna haja ya kujieleza hivyo we chukua hatua tu.

Itabidi kasuku mtu ajitutumue maana washindani wanaweza wakakosa sifa zingine itabidi achukuliwe yeye na kupewa crash programme ya kujiendeleza

Me sina kigezo cha elimu tuu hapo ila ni mjasilia mali najiweza upande wa cash....nakamjengo kangu nnje ya mji chanika huko.
 
Last edited by a moderator:
msomi kwa msomi tajiri kwa tajiri fukara kaa mbali usisogee huna chako kula kwa macho pusi weee
 
Du kama unataka wa kula nae bata dini sio point ya kuongea kwani hizo dini zinakataza kula bata bila ndoa
 
Habari za jioni. Mimi ni binti mwenye miaka 25,niko single, nina degree moja,mwajiriwa katika sekta binafsi, niko maji ya kunde na slim figure, mkristo(rc), independent. Natafuta a realman awe mkristo, age between 30-38,single, msomi, maji ya kunde, tall,asiwe na kitambi,anayejiweza financialy ,mstaarabu, asiwe possessive wala mtumia ti.go. Ni kwaajili ya kuhave fun no strings attached. Mwenye vigezo hivo anakaribishwa kuPM.

Sasa mbona unatuweka sisi wakristo ktk kundi la wazinifu!?
Mbona dada huna adabu! Au kwasababu umeona habari mbovu za uzinzi ktk baadhi ya wachungaji ! Basi ukaamua kutangaza kabisa kuwa wewe unataka "mkiristo tu"
Halafu umeshawahi kuona mchungaji asiye na kitambi! We hujui utapiamlo unatusumbua sana huku! Na ile michango kedekede tunayopata tutaacha kupata matumbo makubwa!!?

Kama ww shida yako ni nanihii! Kwani asiyekuwa mkiristo hana?? Hata wachina pia wanazo! Japo kuwa sio uzipendazo!
Mnsfuuuuuuu!

Hebu ngoja tumuulize huyu mparokia ya nyuma MaxShimba analionaje hili!!
 
Last edited by a moderator:
Habari za jioni. Mimi ni binti mwenye miaka 25,niko single, nina degree moja,mwajiriwa katika sekta binafsi, niko maji ya kunde na slim figure, mkristo(rc), independent. Natafuta a realman awe mkristo, age between 30-38,single, msomi, maji ya kunde, tall,asiwe na kitambi,anayejiweza financialy ,mstaarabu, asiwe possessive wala mtumia ti.go. Ni kwaajili ya kuhave fun no strings attached. Mwenye vigezo hivo anakaribishwa kuPM.

Wanaume Lulu cku hiziii,,,,unaonekana ni zinga la mtUMbaaa,,,,
 
Mimi nipo vingezo vyote ninavyo lakn elim yangu ni form four.
 
Habari za jioni. Mimi ni binti mwenye miaka 25,niko single, nina degree moja,mwajiriwa katika sekta binafsi, niko maji ya kunde na slim figure, mkristo(rc), independent. Natafuta a realman awe mkristo, age between 30-38,single, msomi, maji ya kunde, tall,asiwe na kitambi,anayejiweza financialy ,mstaarabu, asiwe possessive wala mtumia ti.go. Ni kwaajili ya kuhave fun no strings attached. Mwenye vigezo hivo anakaribishwa kuPM.

Nina baadhi ya vigezo. Naomba uni pm ka uko serious.
 
Habari za jioni. Mimi ni binti mwenye miaka 25,niko single, nina degree moja,mwajiriwa katika sekta binafsi, niko maji ya kunde na slim figure, mkristo(rc), independent. Natafuta a realman awe mkristo, age between 30-38,single, msomi, maji ya kunde, tall,asiwe na kitambi,anayejiweza financialy ,mstaarabu, asiwe possessive wala mtumia ti.go. Ni kwaajili ya kuhave fun no strings attached. Mwenye vigezo hivo anakaribishwa kuPM.

Acha uzushi,

Kama ni wa kula bata tu Mambo ya tigo, sijui mrefu, mkristo, Mara asiwe na kitambi n.k. yanahusianaje?

Kwanza kuna Mla-bata asie na Kitambi??
 
Habari za jioni. Mimi ni binti mwenye miaka 25,niko single, nina degree moja,mwajiriwa katika sekta binafsi, niko maji ya kunde na slim figure, mkristo(rc), independent. Natafuta a realman awe mkristo, age between 30-38,single, msomi, maji ya kunde, tall,asiwe na kitambi,anayejiweza financialy ,mstaarabu, asiwe possessive wala mtumia ti.go. Ni kwaajili ya kuhave fun no strings attached. Mwenye vigezo hivo anakaribishwa kuPM.

Kuna vipengele umekosea kama unataka kuwa na bwana wa kula naye bata,hebu muulize Mama wawili alivyompata Mwenyekiti/Mzee Machache,au nenda pale kwa wazee wa mujini British Legion karibu na ilipokuwa Nyumba ya Sanaa hapo kuna ma-tycoon kwao wao London,Jo'burg na majiji mengine ni kama kwenda kibaha
 
Back
Top Bottom