Saidi malolo
Member
- May 2, 2024
- 17
- 12
| Poa kk mm nafanya | |||||||
Mm nafanya kkBar waiter unaikubali?
Nakuomba nipigie broMm nafanya kk
Kaka mm nafanya nitext +255 772 525 607Bar waiter unaikubali?
Kwa bakhersa kazi ipi kubeba mizigo au?Mungu akusaidie hitaji lako mkuu.
Loan ujapata?kuna kaz za viwandani ila ni balaa hapo kwa bahkresaa.
Wacha tusubiri wajeMimi kijana wa miaka 24 nasoma degree mwaka wa kwanza Dar es salaam. Naomba mnisaidie kazi kwa sababu najisomesha mwenyewe. Mimi hata nikipatiwa kazi ya kuingia kwa zamu sawa ila iwepo Dar es Salaam
Nitawashukuru sana jamani naomba mnisaidi namb zangu +255 772 525 607 hizo naomba mnisaidie mdogo wenu
tupeane muongozo wa kazi za huko viwandanMungu akusaidie hitaji lako mkuu.
Loan ujapata?kuna kaz za viwandani ila ni balaa hapo kwa bahkresaa.
Usifanye hizo kazi hazifaitupeane muongozo wa kazi za huko viwandan
Hivi kazi za viwandani hata wadada wanafanyaUsifanye hizo kazi hazifai
Kama Una laki moja fanya Kama mdau hapo juu alivyosema kuuza chenji utapata faida