pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
habari wakuu mimi ni mtanzania mwenye shahada ya jinsia na maendeleo ninatafuta nafasi ya kufundisha katika vyuo vya training yaani vyuo vidogo ninauwezo wa kufundisha development studies, gender studies, sociology, social work pia kama nitapata katika shule za secondary ninaweza kufundisha masomo kama literature in englsh, history one and two, civics na bible knowledge so mwenye kuweza kunisaidia plz help me thanx