Natafuta Ajira ya Muda

Status
Not open for further replies.

Msafiri Kasian

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
2,133
Reaction score
661
Wana Jf,mimi ni miongoni mwa wale waliokosa mikopo ya kujiunga na elimu ya juu mwaka jana. Nilipangiwa chuo lakini sikupata mkopo,na kutokana na uwezo mdogo wa wazazi sikufanikiwa kujiunga na chuo.Naomba mwenye NGO yake au anayejua yeyote ambayo nitaweza kupata ajira ya muda anisaidie,hata kama ni government organization sawa tu.Pia kama mtu anafahamu shule ya O-level ambayo naweza kupata nafasi ya kufundisha masomo ya Mathematics na Geography nitafurahi pia. Ninashida kweli na sio utani,mwenye kuweza kunisaidia anisaidie,Asante. Nipo Arusha.
 
kaka pole sana -, nakushauri tafuta shule za kata hapo karibu na unapokaa umuombe mwalimu mkuu atakusaidia kwa malipo kidogo anao huu uwezo.
 
Pole sana mkuu ila usife moyo nikuhangaika tu na kumwomba Mungu atakufungulia njia ya Ajira na kazi pia. Pia iwe fundisho kwetu waTZ 2015 tusidanganyike na tshirt, kanga, kofia na pilao bali tufanye uamuzi tusiokuja kuujutia na kusababisha tatizo hili kubwa la ajira
 
unamuuliza mwanafunzi mwenzio matokeo ili ufanyeje?. senetor acha utani mtu anapokuwa serious.

pengne nina ndugu yangu mwenye shule ambapo naweza kumsaidia kupata tempo.
 
Apply jeshi la polisi au la wananchi watakapo toa nafasi zao muda si mrefu,vumilia.
 

Wa Tanzania bado hawana jeuri dhidi ya tshirt,vilemba nk.Nasubiri uchaguzi ujao kule Arumeru Mashariki
Ccm wakishinda tena nasepa zangu abroad na kuzikwa itakuwa kulekule kama Balali.
 
Apply jeshi la polisi au la wananchi watakapo toa nafasi zao muda si mrefu,vumilia.

Kwa JWtz level yake ya form six jana tar21 ndio walikua wanahakikiwa Monduli baada ya JKT Orjoro juzi tar20 kuhitimu kwa hyo amechelewa kwa sasa,anaejua tofauti na hapa aseme
 
TANAPA wametangaza nafasi za kazi, kama upo Arusha jaribu kucheck nao hata kama utapata Office Attendant, hela yao ni ndefu kuliko ya mabosi uchwara mtaani!!
 
Mkuu senator kashaku Pm? Mkande hadi kieleweke. asikuchezee akili bana. senator eeh msaidie mshikaji kama uwezekano upo.
 
Apply jeshi la polisi au la wananchi watakapo toa nafasi zao muda si mrefu,vumilia.

Hapa anaweza kuapata ajira ya muda kweli??!!! :shock:au ...............................
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…