Natafuta ajira ya ualimu wa sekondari shule ya private au kituo chochote cha elimu

Natafuta ajira ya ualimu wa sekondari shule ya private au kituo chochote cha elimu

Codename96

Member
Joined
Sep 17, 2020
Posts
90
Reaction score
85
Najua kuna watu wananishangaa, na huenda wapo watakaonishauri nisubiri matokeo ya ajira zilizotoka juzi. Lakini mimi hizo nimepishana nazo.

Baada ya kumaliza chuo nilirudi nyumbani (kijijini) kabla ya vyeti kitoka. Na nilipokuwa huko nilipishana na deadline ya kutuma hizi ajira za juzi. Nimetafuta sana nauli ya kurudi angalau nije nichukue cheti changu tu lakini nimejikuta nimefika Dar es salaam nimeshachelewa (kutokana na kuchelewa kupata nauli) michakato kuanzia kuchukua cheti mpaka kutuma maombi.

Kama kuna uwezekano ninaweza kupata ajira katika shule ya private nitashkuru sana kwa sababu ajira za tamisemi ndio hizo nimeshapishana nazo sifahamu zingine zinatoka lini.

Nimesoma BA-ED (Kiingereza na HIstory).

Natanguliza shukrani za dhati.
 
Kuna shule mpya ya English medium inahitaji head mistress ambaye yupo vizuri kwa ENGLISH ili awe anaoperate school East Africa. Hasa hasa awe kasoma na kufaulu vizuri ENGLISH language. Shule ipo MBEYA imeanza mwaka huu mwezi wa Kwanza inaitwa PARADISE MISAION. Kama umesoma nje itakuwa guarantee kubwa mno. nicheki pm
 
Dah..jamani watoto wa maskini ndo tunaoumia Sana na hili swala la ajira mtu alisoma ualim akiamn mapema Sana atapata ajira lakin dah..Basi kaziiendelee hakuna namna.komaa utapata tu kijana .
 
Kuna shule mpya ya English medium inahitaji head mistress ambaye yupo vizuri kwa ENGLISH ili awe anaoperate school East Africa. Hasa hasa awe kasoma na kufaulu vizuri ENGLISH language. Shule ipo MBEYA imeanza mwaka huu mwezi wa Kwanza inaitwa PARADISE MISAION. Kama umesoma nje itakuwa guarantee kubwa mno. nicheki pm
Asante sana ndugu ila mimi ni jinsia ya kiume na nimeona hapo umezungumzia 'head mistress', kama inaruhusu jinsia zote nitashkuru sana!
 
Dah..jamani watoto wa maskini ndo tunaoumia Sana na hili swala la ajira mtu alisoma ualim akiamn mapema Sana atapata ajira lakin dah..Basi kaziiendelee hakuna namna.komaa utapata tu kijana .
Asante ndugu yangu!
 
Najua kuna watu wananishangaa, na huenda wapo watakaonishauri nisubiri matokeo ya ajira zilizotoka juzi. Lakini mimi hizo nimepishana nazo.

Baada ya kumaliza chuo nilirudi nyumbani (kijijini) kabla ya vyeti kitoka. Na nilipokuwa huko nilipishana na deadline ya kutuma hizi ajira za juzi. Nimetafuta sana nauli ya kurudi angalau nije nichukue cheti changu tu lakini nimejikuta nimefika Dar es salaam nimeshachelewa (kutokana na kuchelewa kupata nauli) michakato kuanzia kuchukua cheti mpaka kutuma maombi.

Kama kuna uwezekano ninaweza kupata ajira katika shule ya private nitashkuru sana kwa sababu ajira za tamisemi ndio hizo nimeshapishana nazo sifahamu zingine zinatoka lini.

Nimesoma BA-ED (Kiingereza na HIstory).

Natanguliza shukrani za dhati.
Good luck
 
Back
Top Bottom