nundaz
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 272
- 193
Heshima kwenu wanajukwa! Mimi ni mwalimu by professional,nimemaliza diploma last week katika chuo cha kigurunyembe teachers college kilichopo morogoro!
Masomo yangu ya kufundishia ni Geography na English nipo arusha kwa sasa! Hata english medium schools nipo tayari pia kazi yoyote yenye kuhitaji kiwango cha elimu yangu nipo tayari pia. Najua humu ndani kuna watu wanaconnection na watu mbalimbali wenye mashule na hasa private schools!
Naombeni msaada wakuu sipendelei kuwa idle kipindi hiki nasubiri taratibu za serikali kuhusu ajira!
Masomo yangu ya kufundishia ni Geography na English nipo arusha kwa sasa! Hata english medium schools nipo tayari pia kazi yoyote yenye kuhitaji kiwango cha elimu yangu nipo tayari pia. Najua humu ndani kuna watu wanaconnection na watu mbalimbali wenye mashule na hasa private schools!
Naombeni msaada wakuu sipendelei kuwa idle kipindi hiki nasubiri taratibu za serikali kuhusu ajira!