Natafuta anayeweza kuongea Kiswahili nchini Uchina

Natafuta anayeweza kuongea Kiswahili nchini Uchina

bwana andy, mimi nina mwalimu mmoja wa kiswahili. sikiandiki nitamuuliza mwalimu yangu.

Kwa hiyo kama huandiki hicho kiswahili hapa waandika maneno gani au hiki nacho kichina?
 
Skype natumia pia hata Whats-up lakini mbona unaonekana unajua kiswahili vizuri tu na kwanini usiongee na huyo mwalimu wako ili aweze kukuza kiswahili chako au hataki?
 
Hakuna mwanafunzi wa kiswahili wa miezi sita anaweza andika kiswahili fasaha hivi, sio hapa wala wapi. Huyu mwongooooooo kabisa.

acha maswala yako ya woga ktk nafsi.....lugha yoyote waweza kuijua ndani ya miezi mitatu mpaka sita
 
Skype natumia pia hata Whats-up lakini mbona unaonekana unajua kiswahili vizuri tu na kwanini usiongee na huyo mwalimu wako ili aweze kukuza kiswahili chako au hataki?

Kwanza, ninafahamu Kiswahili kidogo. Halafu, mwalimu anakaa Ujerumani sasa hivi, mimi ninajifunza kwa njia ya mtandao wa skype. Mwalimu anafundisha sarufi tu. Mwalimu wangu hana nafasi kuongea na mimi pamoja.
Asante.

Mimi naomba kutafuta mtu anayeongea kiswahili na mimi. At the same time (mimi siwezi kusema maneno haya) , naomba mtu huyu anataka kujifunza kichina au anavituwa uchina. (I want to find a person whom I could talk with in swahili,. At the same , I hope he's want to learn Chinese au he is interested in China.)

Natarajia unaelewa.(Hope you could understand what I mean)
 
Ninajifunza Kiswahili kwa miezi sita hivi. Lakini mimi ninafahamu kiswahili kidogo. Maneno huko yanayoandikwa , mimi ninayatafuta kamusi.org au africanlanguages.com.. naomba nyinyi mnaweza kuniambia makosa yangu.

Sasa hivi ninataka kutafuta mtu anayeweza kuongea kiswahili na anayejifunza kichina . tunaweza kuongea kwa njia ya mtandao, skype au facebook.
Karibuni.
/
I have learned Swahili about 6 months. however I know Swahili very little. So I'm learning here. Most of words written here is what I just found in africanlanguages.com or kamusi.org. Surely I would make mistakes. Any of your correction or suggestion is of most welcome.

Here I'd like to find a person whom I can talk with in Swahili. At the same time, I'd like he/she wants to learn Chinese au he's interested in China. Whether he/she is in China or not. We could chat with internet.
Welcome!
 
Habari yenu,

mimi jina langu Jasmine. nimetoka nchi ya uchina. nimejifunza kiswahili kwa muda wa miezi sita hivi. na sasa nataka kuzungumza kiswahili na waswahili ili niboreshe kiswahili changu.

ninakaa mji wa Shenzhen. Shenzhen ni mji mmoja katika jimbo la Guangdong, kusini mwa Uchina. Natafuta mtu ambayo pia anakaa huko. Sababu labda tunaweza kuzungumza kiswahili katika wikiendi. Ikiwa unataka kujifunza Kichina pia, basi tunaweza kusaidiana.

haidhuru kama kwamba hukaa mji wa Shenzhen. tunaweza kuwasiliana kwa kutumia mtandao wa intaneti. kama vile skype , au msn , au qq au wechat au email.

asante sana
Jasmine
dah, mchina anaitwa Jasmine? ndio mara ya kwanza kusikia. wengi huwa nasikia wanaitwa Tun cho, wang huu, prepr chu...hahahahaha. isijekuwa changa la macho hapa, na iki kiswahili anaandikiwa au anaandika mwenyewe...kama anaandika mwenyewe basi nampongeza sana kama kweli uyo mtu ni mchina na si shankupe.
 
Back
Top Bottom