Natafuta baba watoto

Natafuta baba watoto

YUPO MWANAUME WA KWELI MAKONDA ATAKUPA MIMBA USIJALI ICPOPATIKANA KAWAIDA ATA CHINA MTAENDA
 
Kama utakuwa tayari tukawa katika mahusiano kwa mkataba wa mwaka mmoja na endapo tutautendea haki mkataba wetu tunaweza kuongeza tena,ila sitakuwa tayari kwa mahusiano ya hadi kifo,karibu
 
Natafuta mwanaume wa kula nae uzee miaka 38 na kuendelea, vijana vijana hawa sina muda wa kupeana stress so usijisumbue.

Usiwe umepeana talaka na mkeo.

Au mmefarakana kwa njia yoyote labda awe amefariki.

Uwe mtu mzima mwenye kujitambua.

Uwe unaishi DSM mahusiano ya mbalimbali sitaki kama kawaida hakuna.

Kungonoka ila mwezi wa tisa tutaanza kutafuta mtoto.

Ndoa sio harusi tutafunga hata ya mkeka uwe tayari kupima ngoma sina masharti mengi kwa hapa nitachambua huko huko mbele ya safari.

Email missnatafuta2017@gmail.com
Mwisho wa maombi ni week mbili toka leo
Nimekuja fasta nikifikiri post ni ya Leo, kumbe ya miaka nenda rudi? Kama bado hujapata mimi nipo hapa, nina miaka 60 , retired but not tired![emojiq12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Kama Gazeti hilo ni Alasiri au Dar Leo yanatoka saa9 saa kumi na moja Giza likiingia kwisha habari yake.
 
Back
Top Bottom