Natafuta Bajaji au gari ndogo ya mkataba kwa kusafirisha abiria

Natafuta Bajaji au gari ndogo ya mkataba kwa kusafirisha abiria

Adimu

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2013
Posts
661
Reaction score
297
Habari wakuu, mimi ni dereva mwenye leseni inayoniruhusu kuendesha abiria na nina hati ya tabia njema kutoka wizara ya mambo ya ndani.

Natafuta bajaji au gari ndogo ya mkataba kwa ajili ya kazi ya kubeba abiria. Namba zangu ni 0742783775
 
Habari wakuu, mimi ni dereva mwenye leseni inayoniluhusu kuendesha abiria na nina hati ya tabia njema kutoka wizara ya mambo ya ndani, natafuta bajaji au gari ndogo ya mkataba kwaajili ya kazi ya kubeba abiria (Uber). Namba zangu ni 0742783775
 
Habari wakuu, mimi ni dereva mwenye leseni inayoniluhusu kuendesha abiria na nina hati ya tabia njema kutoka wizara ya mambo ya ndani, natafuta bajaji au gari ndogo ya mkataba kwaajili ya kazi ya kubeba abiria (Uber). Namba zangu ni 0742783775
Bajaj hesabu Bei gani kwa mkataba? Na kwa muda gani?
 
Bajaj hesabu Bei gani kwa mkataba? Na kwa muda gani?
Inategemea na hali ya bajaji, mpya au imetumika kiasi gani, muda ni makubaliano, nakuja pm
 
Inategemea na hali ya bajaji, mpya au imetumika kiasi gani, muda ni makubaliano, nakuja pm
Kama ni mpya ni Kias gani kwa siku? Na utaleta kwa kipindi cha muda gani?
 
Habari wakuu, mimi ni dereva mwenye leseni inayoniluhusu kuendesha abiria na nina hati ya tabia njema kutoka wizara ya mambo ya ndani, natafuta bajaji au gari ndogo ya mkataba kwaajili ya kazi ya kubeba abiria (Uber). Namba zangu ni 0742783775
 
NATAFUTA GARI NDOGO YAKUFANYA NAYO BIASHARA YAANI UBER.NINA UZOEFU WA KAZI NINA RESENI DARAJA C PIA NINA BILIA BINAFSI PIA ACCOUNT YA UBER NINAYO NA IIPO ACTIVE YAAN INAFNYA KAZI.NIPO DAR ES SALAAM.TUWASILIANE KWA NAMBA 0673146830 asnt sana.wapo katika ujenzi wa taifa
Ungetumia ustaarabu ukaanzisha uzi wako, sio kwenye post ya mtu nwenye uhitaji kama wako na wewe unaweka ombi lingine hiyo si uungwana.
 
Back
Top Bottom