NATAFUTA BAJAJI MBEYA MJINI

NATAFUTA BAJAJI MBEYA MJINI

David Kilas

Member
Joined
Nov 29, 2020
Posts
14
Reaction score
15
Habari...Mimi ni kijana wa kiume wa miaka 26 na ninaishi Mbeya mjini..Natafuta Bajaji kwa ajili ya kufanya kazi ya kusafirisha abiria..Hivyo kama wew mwana Jf mwenzangu una bajaji na unahitaji dereva naomba unipatie mimi hiyo kazi..Ni mwaminifu na mchapakazi...Kikawaida kila siku kwa boss inapelekwa elf 20...Na ntafanya hivo kwa uaminifu bila changamoto yoyote...namba yangu 0783367426..Asanteni
 
Back
Top Bottom