David Kilas
Member
- Nov 29, 2020
- 14
- 15
Habari,
Naitwa Daud Benjamin mhitimu Chuo Kikuu IFM Dar es Salaam mnamo mwaka 2019. Nina degree ya Social Protection. Kwa sasa ninaishi Mbeya. Dar es salaam nilihama kutokana na gharama za maisha kuwa juu sana na kukosekana kwa ajira. Nimetafuta ajira bila mafanikio mpaka sasa. Nilivyohamia Mbeya nilianza kujifunza kuendesha Bajaji ili niweze kujikimu kimaisha.
Bajaji kwa Mbeya ni biashara nzuri maana ndio usafiri mkuu unaotumiwa na wakazi wa Mbeya mjini. Naomba wana JF mnisaidie kupata Bajaji ambayo ntakua namletea Boss kiasi tutakachokubaliana kila siku.
Namba yangu 0783367426
Email: dkilasi53@gmail.com
Asanteni
Naitwa Daud Benjamin mhitimu Chuo Kikuu IFM Dar es Salaam mnamo mwaka 2019. Nina degree ya Social Protection. Kwa sasa ninaishi Mbeya. Dar es salaam nilihama kutokana na gharama za maisha kuwa juu sana na kukosekana kwa ajira. Nimetafuta ajira bila mafanikio mpaka sasa. Nilivyohamia Mbeya nilianza kujifunza kuendesha Bajaji ili niweze kujikimu kimaisha.
Bajaji kwa Mbeya ni biashara nzuri maana ndio usafiri mkuu unaotumiwa na wakazi wa Mbeya mjini. Naomba wana JF mnisaidie kupata Bajaji ambayo ntakua namletea Boss kiasi tutakachokubaliana kila siku.
Namba yangu 0783367426
Email: dkilasi53@gmail.com
Asanteni