Natafuta bikra feki!!

DJ SEPETU

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
8,413
Reaction score
12,336
Mwenye kujua zinapopatikana au namna zinavyotengenezwa anijulishe Tafadhali!

Naomba msinishangae au kudhani ni utani utani kiukweli Nina shida hiyo hasa!

Labda nieleze sababu,kuna mdada nataka kumuoa awe mke Wa ndoa,sasa nilikula tunda kitambo jambo lililopelekea kuifumua bikra Na kuitoa!

Kulingana Na mila zao Na heshima ya familia yao itakuwa aibu kubwa kwake Na ukoo kwa ujumla siku ya fungate ikajulikana kuwa hana bikra!

Kwao hutandika kitambaa cheupe Na watu Wa kufua mashuka huandaliwa maalumu!

Hali hii inamnyima raha kabisa mchumba wangu,tumejaribu miti shamba ya kimasai wapi, tukijaribu vilevile tu no mkwamo!

Help please!
 
Siku ya fungate si watafte tuu kuku wananyonga mnaweka damu kwenye hiko kitamba, end of story.
 
Nisaidie hata namba zao!
Nenda insta huko kamuulize mtu anaitwa usipojipanga naonaga kawateka wadada na mambo mambo zake ila bikra fake labda huyo mwanaume mlugaluga unanzaje kumdanganya mtu na bikra fake jaman
 
Nenda insta huko kamuulize mtu anaitwa usipojipanga naonaga kawateka wadada na mambo mambo zake ila bikra fake labda huyo mwanaume mlugaluga unanzaje kumdanganya mtu na bikra fake jaman
Mimi ndio mwanaume tunataka kuua soo ukweni!
 
Isipotoka kwao hawakuelewi
Dah me cjui bdo mtoto wa hayo mambo ila ninavowackia watu sio watu wote wanatoka damu itadepend na wewe mwenyew utakavomtoa ila nenda insta huko zko page kibao za makungwi wanauza labda mtafanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…