Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
ila daah😀😀Umenikumbusha mbalii mimi pia niliwahi dhaniwa mwanaume kipindi hiko kisa tu kuna id kama hii ya kiume[emoji1787] ilikua tafrani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila daah😀😀Umenikumbusha mbalii mimi pia niliwahi dhaniwa mwanaume kipindi hiko kisa tu kuna id kama hii ya kiume[emoji1787] ilikua tafrani
eeh kaka 🙁Kweli kaka😅
Wameufuta, Jana pia Kuna mmoja wameufuta, inshort hao uliowataja wanasema wewe ni mzuri sana jf nzimaTatizo ni kusikia kwa kenge, we nani amekuambia JF kuna wanawake?
Halafu kuna uzi wako umefutwa eenhe? Nimeona mention mbili ya Joanah na mate wangu The Icebreaker, nataka kureply shwaa uzi siuoni.
Tatizo ni kusikia kwa kenge, we nani amekuambia JF kuna wanawake?
Halafu kuna uzi wako umefutwa eenhe? Nimeona mention mbili ya Joanah na mate wangu The Icebreaker, nataka kureply shwaa uzi siuoni.
Wanakutania tu. Wenyewe wanajua deep mimi ni bro!Wameufuta, Jana pia Kuna mmoja wameufuta, inshort hao uliowataja wanasema wewe ni mzuri sana jf nzima
Hauna shida, Hawa mods wananichukia hata Jana Kuna mmoja wameufungiaKumbe ule uzi umefutwa
Sijui ulikuwa na shida
Sio kejeli, watu wamefunguka pale Kuna mmoja kasema amekutana na mtu mkavu juzi skukuu, ila wewe wanakusifia sanaWanakutania tu. Wenyewe wanajua deep mimi ni bro!
Acha kejeli ndio maana nyuzi zako zinafutwa.
Nadhani una kejeli/bullying, nimeingia JF now naona notifications, kuzifungua hamna kitu.Kumbe ule uzi umefutwa
Sijui ulikuwa na shida
Basi nitaaacha kuongea ukweli hapa jf kuanzia leoNadhani una kejeli/bullying, nimeingia JF now naona notifications, kuzifungua hamna kitu.
Enhe “ukweli “ sio mzuri unajua.Basi nitaaacha kuongea ukweli hapa jf kuanzia leo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]"Watanzania wanalia mtaji hamna [emoji1]tafuta mtoto wa form three shikisha hii Mtu then unatengeneza fumanizi peleka kituoni unapiga 8M we unasepa na 5M wazazi 3M......mwanasheria wa mchongo 20k"
Aliskika mlevi moja
Wapi hiyo? Ya udalali ipo usijalNaomba niwe dalali, kuna kabinti age hiyo sio poa, kapo vizuri balaa!!
Yaani na wote ni Mishangazi Pacha. 🤣🤣Na kati ya hao wanawake wawili...hakuna mwenye 22 😃
JichanganyeMabinti wasomi wana shida gani, mnawakimbia sana.
Jast imajiiiinUnaheshimiana vzuri na mtu kumbe anatafuta mchumba mtandaoni na redioni
😂😂😂 ni hatariJast imajiiiin
Tena mtandao wenyewe JF