πππππMabinti wasomi wana shida gani, mnawakimbia sana.
Age go tumejaa Tele,sio shida zetu
hatujali loloteππ»Age go tumejaa Tele,sio shida zetu
Usimdanganye mwenzio, mbona mimi na Evelyn Salt hata 20 hatujafika!!
Watoto namba E π€£Usimdanganye mwenzio, mbona mimi na Evelyn Salt hata 20 hatujafika!!
nyie si ndo wale wanawake wawili pekee walioko jfUsimdanganye mwenzio, mbona mimi na Evelyn Salt hata 20 hatujafika!!
Kitu brand newπ€£Watoto namba E π€£
Ndioooooπ€£nyie si ndo wale wanawake wawili pekee walioko jf
Mhmhmh,pacha wako Madame B yupo wapi?!! Karudi Tanga vijijini?!! Mpo Jf zaidi ya 10 years halafu mko sealed eeeh?!!Watoto namba E π€£
Mhhh kwani kaka brother mbona hasira sana? Tusamehe popote tulipokukosea πMabinti wa miaka 22 wapo kwenye prime ya ubinti means hawaogopi kujianika mitandaoni kuprove kwa watu kwamba wao ni wazuri ili wapate fame. Sasa wewe kwa akili zako zote unategemea vipi demu wa 22 umkute JF mtandao uliomaarufu kwa anonymity kwa fake id? Sehemu ni moja tu, ni Instagram. Kule utapa vitu safi vilivyochangamka. Ni kuwa na laki kadhaa tu.
Means technically wanawake wengi humu watakuwa wazee na watu wazima wasiotaka kujulikana wala kuonekana, either kwa sababu binafsi au ndio mtandao pekee anaoweza kukidhi ego haja za ego yake kuishi kwenye fantasy island kwa kuweka pfp ya Beyonce na maboya bado yakamshobokea.
So usitegemee mrembo mkali and young kutoka jf. Single mother mtindo mmoja.
Age go π mishangazi mingine ya 1975 huko iko humu ukiikuta humu kama wadada wa 2001 vile kumbe kusheney babuji age go ππ