Natafuta Binti mzuri kwa ajili ya urafiki na uhusiano wenye Malengo

Natafuta Binti mzuri kwa ajili ya urafiki na uhusiano wenye Malengo

alphayo 22

New Member
Joined
Oct 18, 2024
Posts
1
Reaction score
2
Wapendwa nawasalim.

Katika hali ya u serious natafuta binti makini kwa ajili ya urafiki na ikipendeza kua nae kwenye mahusiano yenye future. Itapendeza sana muhusika akiwa na miaka 24 - 29. Na awe anajishughulisha na kazi halali.

Binafsi niko serious 30yrs nimeajiriwa na ninajitegemea.

Karibu PM kwa ulie serious.
 
Wapendwa nawasalim.

Katika hali ya u serious natafuta binti makini kwa ajili ya urafiki na ikipendeza kua nae kwenye mahusiano yenye future. Itapendeza sana muhusika akiwa na miaka 24 - 29. Na awe anajishughulisha na kazi halali.

Binafsi niko serious 30yrs nimeajiriwa na ninajitegemea.

Karibu PM kwa ulie serious.
Mtaani umekosa kabisa ?, japo wa mtaani ndio hawahawa ila wanakuja mkuuu.
 
Wapendwa nawasalim.

Katika hali ya u serious natafuta binti makini kwa ajili ya urafiki na ikipendeza kua nae kwenye mahusiano yenye future. Itapendeza sana muhusika akiwa na miaka 24 - 29. Na awe anajishughulisha na kazi halali.

Binafsi niko serious 30yrs nimeajiriwa na ninajitegemea.

Karibu PM kwa ulie serious.
Nakuombea upate hitaji la moyo wako
 
Nakuhakikishia hakuna sehem unaweza pata mwanamke/mdada kwa urahisi kama kanisani, ni uhakika

Cha kufanya ww zingatia code (vaa vizuri) ishi nao ila usiwe mtu wa mazoea sana maneno kidogo utani kidogo kama ni malaya unalomba wote

Vaa vzr, maneno kidogo, utani kidodgo, kama upo Dodoma karibu sana kanisani kwetu nikutambulishe
 
Back
Top Bottom