Natafuta binti wa kazi kwa ajili ya Mama Ntilie. Mshahara Tsh. 3,000/- kwa siku

Kiwanda cha MMI Steel kinawalipa vibarua wake 3500/=per day ,kazi ni masaa 12,nashangaa mnaomkejeli mleta mada.
nimegundua watu wengi humu wanamisha mazuri....agesema anhitaji mwanaume hii kazi hata mimi ningefanya kulingana na hesabu zangu.....

Assume mtu analinda kuanzia saa 12 jioni hadi asubui....hapo angeweza kufanya hiyo kazi anasevu 3000 na pesa ya chakula cha asubui na mchana.....kila kitu plan
 
Mleta uzi huu ushauri hujauona ama??
 
Jf ina vijana wa ajabu sana, mbona hamsemei mishahara ya viwandani huko watu wanafanya kazi masaa 12 kwa elfu 4? Chakula juu yao!

Nendeni hapo ubungo external mkaone nyomi ile ndo mje hapa kukashifu ajira nyingine..
Nimeulizia hapa naambiwa wanalipwa 110,000 per month na nyongeza ya 1000 kwa kila saa unayoongeza,na inategemea pia na kitengo ulichofanya

Wanaingia saa 2 asubuhi-11jioni
Duh hali siyo hali
 
Nimeulizia hapa naambiwa wanalipwa 110,000 per month na nyongeza ya 1000 kwa kila saa unayoongeza,na inategemea pia na kitengo ulichofanya

Wanaingia saa 2 asubuhi-11jioni
Duh hali siyo hali
Umeona eeh. Kuna raia zaidi ya elfu 1 wanaingia humo daily na hawachoki wala kulalamika.

DAR MAISHA MAGUMU SANA

Kwa huo mshahara kuna nauli, kula, vocha, kodi ya nyumba na mengine kibao
 
Usitishe watu wewe, mshahara huo unakufanya usijiamini ndio maana unasema tupunguze kejeli. Kama unaona mshahara huo ni mzuri na haupaswi kuchalenjiwa fanya kazi yako mwenyewe,amka asubui mpaka saa 7 uchukue 3000/ yako.
 
Usitishe watu wewe,mshahara huo unakufanya usijiamini ndio maana unasema tupunguze kejeli.Kama unaona mshahara huo ni mzuri na haupaswi kuchalenjiwa fanya kazi yako mwenyewe,amka asubui mpaka saa 7 uchukue 3000/ yako.
Masaa 6 unalipwa elfu 3.

Halafu ukiangalia hii kazi anaweza pata uzoefu akaja kujiajiri kama mama ntilie.

Wasomi na Degee zao wanajitolea mwaka mzima kwa malipo ya chai na lunch.

Paza sauti na huko mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…